Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchaguzi upi tena Magufuli atatokea? hii ishu sio ya Upinzani vs CCM, ni watu wa vyama vyote wa,mefarijika kuondokewa na nduli mla nyama za watu. akashiriki uchaguzi wa malaika hukoHao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe
View attachment 1748162
Ni wapumbavu sana hao jamaa wanajiona JF ni ya watu wenye akili. Humu JF kuna wajinga wengi na fuata mkumbo kama kule twitter na multiple Ids zao.Hao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe
View attachment 1748162
Ungekua mtandao wa wajinga Jf wangetoa account zao zote .miaka ya hivi karibuni facebook kwa hapa tz umebaki kuwa mtandao wa watu wajinga ambao ni less informed kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea ndani ya nchi yao.
kule instagram majority ni millennials, hawa interest yao ni kufatilia page za udaku na ubuyu zimepost nini kuhusu scandal/drama za mastaa wa bongofleva na bongo muvi.
kwa muktadha huo usitegemee kijana wa instagram aandike paragraph tatu au zaidi kuchambua utawala wa jiwe. wengi huishia kuweka picha tu.
Wewe kweli ni famba tena ni mshamba.Ni kweli tena MTU na akili zako kweli unashinda Facebook kutafuta nini labda, insta kumejaa umbea tu hakuna cha maana huko
Usitumie nguvu nyingi nenda Facebook sasa hivi pitia comments kwenye page zisizo za vyama kama JF, mwananchi newspaper, millard ayo, swahili times nk zitakupa ukweli japo unaweza usiupende.Usituletee habari za kujifariji Moyo we mataga hii Facebook ni ya Chato?View attachment 1748166
Hao watu unaowaita wajinga au millenials kuumbuka ndio walio wengi wakitoa sauti nchi inatikisika. Kama JPM aliweza kujenga connection nao basi kuna sehemu alifaulu.miaka ya hivi karibuni facebook kwa hapa tz umebaki kuwa mtandao wa watu wajinga ambao ni less informed kuhusu masuala mbalimbali yanayoendelea ndani ya nchi yao.
kule instagram majority ni millennials, hawa interest yao ni kufatilia page za udaku na ubuyu zimepost nini kuhusu scandal/drama za mastaa wa bongofleva na bongo muvi.
kwa muktadha huo usitegemee kijana wa instagram aandike paragraph tatu au zaidi kuchambua utawala wa jiwe. wengi huishia kuweka picha tu.
Unajua kwa nini wapinzani wamejikuta wapo ccm kwa mkopo na ccm hawajui wasimame na nani? Nguvu ya Magufuli.Uchaguzi upi tena Magufuli atatokea? hii ishu sio ya Upinzani vs CCM, ni watu wa vyama vyote wa,mefarijika kuondokewa na nduli mla nyama za watu. akashiriki uchaguzi wa malaika huko
Sifuti huo ndo ukweli mitandao yenye watu smart hujulikana walioko fb, na Instagram ukiwauliza LinkedIn ni Nini hawajui kabisaFuta hii kauli unajivunjia heshima
Unaweza kukuta siku nzima watu 20 mpaka 30 wanazunguka thread zile zile alafu wanakwambia wananchi wamesema hivi 😂😂Humu kuna watu wachache sana na wengi wao wanamiliki double ID's.
Unaweza kuta li-NAPE NAUYE lina akaunti hata saba humu. Linashambulia na kujijibu.
Hawana madhara hawa. Wengine wanafuata mkumbo tu hawaelewi chochote.
Yani unaweka Oprah ambayo ni exceptional case kulinganisha na majority, hafu Africa kupiga kura huwa ni geresha tuHao hao wenye akili ndogo ndiyo huwa wanawaadhibu wakati wa Uchaguzi. Hivi kuwa mtumiaji wa JF ndiyo kuwa na akili nyingi kumbe
View attachment 1748162
Uchaguzi upi tena Magufuli atatokea? hii ishu sio ya Upinzani vs CCM, ni watu wa vyama vyote wa,mefarijika kuondokewa na nduli mla nyama za watu. akashiriki uchaguzi wa malaika huko
Wajinga hao wanalilia marehemu ambaye hasikii kitu badala ya kufikiria future zao zitakuwaje, hao watu wanahitaji elimu na fikra mpya kichwani mwaoGreat thinkers ni hao wananchi wanajua sana nani anaewafaa, ndio maana wakati umu mnashangilia wao walienda kumzika kwa machozi.
Wapiga kura na majority ya watanzania wapo huko. Hizi ID ambazo hazifiki hata 100 zinazoshnda JF kupiga spana ni kama tone la mchanga kwenye bahari.
Yani unaweka Oprah ambayo ni exceptional case kulinganisha na majority, hafu Africa kupiga kura huwa ni geresha tu
Majority of them, ukitoa watu wachache ambao ni exceptional, hafu umejuaje ka na I'd ya old niliacha nikaja na hii ya 2015 na hii nikiiacha Nika create mpya haimanishi sifahamu Jambo loloteKwa hiyo users wote Istagram around the World wana akili ndogo ila wewe hapa mtumiaji wa JF tena kuanzia tu 2015 ndiyo una akili nyingi,na walioanza kutumia tangu enzi za Jambo Forum wasemeje sasa.
Hafu hao wa enzi ya Jambo forum watakuwa wanatumia nikiinyojya maana ni wababuKwa hiyo users wote Istagram around the World wana akili ndogo ila wewe hapa mtumiaji wa JF tena kuanzia tu 2015 ndiyo una akili nyingi,na walioanza kutumia tangu enzi za Jambo Forum wasemeje sasa.