mahingah
Senior Member
- Oct 4, 2016
- 199
- 275
Nina miaka miwili toka nifike hapa Dar kikazi,kitu ambacho nilikuwa na ndoto ya kuja kukiona na kupiga picha ni Ikulu ya Dar es salaam(white house), lakini nilicho kishuudia ni usiri wa hali ya juu hadi kuweka mabati usiweze kuona ndani wakati Kwa wenzetu Kama Marekani ikulu imekuwa Kama kivutio cha utalii. Watu hutoka sehemu mbalimbali kwenda kuona na kupiga picha, Mimi sijapenda coz Tanzania ni nchi ya amani