Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,925
Utampata vipi mkamilifu wakati wewe mwenyewe una 30% wapi na wapi ! Tutabanana humo humo kila mtu achukue wakuendana naye, baba zao walivyo wanyanyasa mama zao na hawakuwa na pakusemea wanataka na sahizi iwe hivyo hivyo sio sawa kabisa, kuwa mme bora hata mke bora atakuwepo hiyo misalaba wasibebeshe wanawakeHaswa, wakiona wanawake waliosoma hawana heshima basi waende wakaoe hao wanawake wasiosoma ambao wanaona ndiyo wana heshima tatizo kaka zetu wanaishia kulalamika tu humu mitandaoni lakini kwenye uhalisia hawachukui hatua zozote na yote hiyo ni kwa sababu wanataka wapate wanawake wakamilifu ili hali wao wenyewe siyo wakamilifu na wanajua kabisa kwamba duniani hakuna binadamu mkamilifu.