Kee_tah
Senior Member
- Feb 26, 2019
- 136
- 240
Wakaka wengi walio comment humu wana insecurity balaa....sijui ndio ile fragile ego ya wanaume.
Kama mwanaume unaona hutaweza kuoa mwanamke aliyesoma na mwenye kazi nzuri basi oa huyo ambaye hajasoma na hana kazi nzuri. Kila mtu afanye analoweza.
Halafu wakaka wengi hawapendi wanawake wenye elimu maana sio rahisi kuwa control plus anakua na ile logical thinking ya kum challenge mwanaume.
Mimi naona mwanaume ukiweza kuwa a provider, protector na an authoritative figure in a relationship hakuna mwanamke anaweza kukuzingua hata awe na elimu vipi.
Kama mwanaume unaona hutaweza kuoa mwanamke aliyesoma na mwenye kazi nzuri basi oa huyo ambaye hajasoma na hana kazi nzuri. Kila mtu afanye analoweza.
Halafu wakaka wengi hawapendi wanawake wenye elimu maana sio rahisi kuwa control plus anakua na ile logical thinking ya kum challenge mwanaume.
Mimi naona mwanaume ukiweza kuwa a provider, protector na an authoritative figure in a relationship hakuna mwanamke anaweza kukuzingua hata awe na elimu vipi.