Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
mkuu vipi?
Kama kawa bro. All well don't worry man!mkuu vipi?
Kama kawa bro. All well don't worry man!
Duhkama nyie mnavyowagonga mabeki 3 mnadai wana joto .na sisi tunawahusudu hao coz wanasimamia show kuskwiti mwannzo mwenga
Mwanamke kujilinganisha na mwanaume huku ni kukufuru uumbaji.Oneni ajabu hii sasa kama kila mwanaume akimjua mwanamke hao wanawake wasiowajua wanaume watatoka wapi? Mbona mnapenda kulazimisha vitu ambavyo haviwezekani? Khee
nipasie hako kadaktariKuna kabinti ka miaka 28 ni kadactari. Kamekata tamaa ya kuolewa. Kananiomba nikaoe. Issue ni kwamba ujuaji ni mwingi sana. Thou napenda kuwa na mwanamke dactari. Nikimuqeka tuu ndani madharau yataanza. Ngoja nitafute mwalimu wa shule ya msingi tena wa grade A. Ninauhakika nitapata heshima yangu kama Mume
sasa umekubali, asante Mane!!kama nyie mnavyowagonga mabeki 3 mnadai wana joto .na sisi tunawahusudu hao coz wanasimamia show kuskwiti mwannzo mwenga
Utakataa nyuma ya keyboard, au wewe una mtu anakupa kila kitu kitandani. Wenzako baadhi hawapati hadi wanahaha, hao mnowadharau(bodaboda) wanatumia fursa vizuri kuwatafuna.Huyo atakuwa ni miongoni mwa wale walofukuzwa sababu ya kughushi vyeti
Huyo hakuwa msomi halisi.
Hata hivyo siyo kila anaefanya kazi TPA ni msomi.
Noma sana!Ndugu yangu oa mke msusi wa nywele hao ni wazuri sana
Walimu aisee utasikia usiku anaweweseka
"we swalehe sema a e i o u "
Tatizo akili yako inashindwa kuchambua mambo. Mwanamke anayejilinganisha na mwanaume ni dalili ya ushetani. Halikadhalika na mwanaume anayejilinganisha na Mwanamke.
Uchafu wa mwanaume nni tofauti na uchafu wa mwanamke ndio maana hata kwenye kutakasa kwenye Biblia ni kuwa mwanaume anajitakasa kwa siku saba wakati mwanamke ni siku kumi na nne.
Sasa unadhani kwa nini Mungu aone uchafu kwa mwanaume unaondoka kwa siku saba wakati mwanamke siku kumi na nne.
Mwanamke kujilinganisha na mwanaume huku ni kukufuru uumbaji.
sasa umekubali, asante Mane!!
i wish..teh!!Mie hata niwe kichaa...haitakuja tokea..!hamjajua tu..kwa mwanamke hakuna raha kama kutunza punane yake...kuna raha mno...siku ya siku unalipuka paaah!..tuchovya chovya yaan ww wk haiishi...kaa na joto lako hata kama 4mths..siku ya siku
Umeulizwa? Umbea tuu.
Hata ww hukuambiwa ujibu, kw hiyo na ww ni mbea mwenzangu. bila bila
Sasa usifiwe sifa isiyo yako, sifa za kijinga hizo. Basi na ww u mrembo Sana nimeona picha yako.kuna watu wajuaji sana.
Mwenzake kasifiwa halafu anamwaribia.
Sasa wewe inakuuma nini hata akipewa sifa isiyo yake?Sasa usifiwe sifa isiyo yako, sifa za kijinga hizo. Basi na ww u mrembo Sana nimeona picha yako.
Kwa hiyo hao wanaume watawajua wanawake gani? Wake za watu au?Mwanamke hatakiwi kuwajua wanaume kabla ya ndoa.
Mwanaume hatakiwi kuingia kwenye ndoa kabla ya kuwajua wanawake.
Haijalishi kawajua wanawake gani kikubwa hatakiwi kuingia kwenye ndoa bila kuwajua wanawakeKwa hiyo hao wanaume watawajua wanawake gani? Wake za watu au?