mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,697
Umakini flani kuelekezwa kwenye Viumbe badala ya Muumba, hili suala limekaaje?
1:Sanamu ya Mbao au Udongo kwenye mambo ya ibada.
2:Umakini mkubwa kupelekwa kwenye Mwezi, Nyota jua.
4:Kwa dini za kiafrika Miti.
5:Mawe
6:Wahindi Ng'ombe
7:Wengine Milima
8:Mwanadamu mwenzao wanaomuaminia sana.
Kitu chochote chenye sura ya kuvutia au kisicho cha kawaida kinaweza kugeuzwa kionjo chenye kuchukua umakini wa waabudu kwenye ibada zetu waafrika, zilizotoka Uarabuni na Uyahudi?
Maoni yangu: Wakati mwingine husuda kwa viumbwa huhafifisha hamasa ya utii kwa Mungu.
Nini maoni yako.
1:Sanamu ya Mbao au Udongo kwenye mambo ya ibada.
2:Umakini mkubwa kupelekwa kwenye Mwezi, Nyota jua.
4:Kwa dini za kiafrika Miti.
5:Mawe
6:Wahindi Ng'ombe
7:Wengine Milima
8:Mwanadamu mwenzao wanaomuaminia sana.
Kitu chochote chenye sura ya kuvutia au kisicho cha kawaida kinaweza kugeuzwa kionjo chenye kuchukua umakini wa waabudu kwenye ibada zetu waafrika, zilizotoka Uarabuni na Uyahudi?
Maoni yangu: Wakati mwingine husuda kwa viumbwa huhafifisha hamasa ya utii kwa Mungu.
Nini maoni yako.