Kwanini huyu dada anapenda kutuchafua wanaume wa hapa mjini kwenye mtandao wake?

WEMBE%252B2.jpg
Kazi kweli kweli
 
Mbona hii habari ni ya kitambo sana? Kuna nini mpaka imekuja kama habari mpya?
 
Hata mimi nashangaa mkuu Habari hii imewataja wengi watu mashuhuri na viongoz lakini cha ajabu kichwa cha habari juu Kawekwa Mange Kimambi why!! Lemutuz aache ushankupe wake bwana ampumzishe mdada wa watu
Huyu Rachel Temu ana bifu na Mange kitambo. Mi mwenyewe nimeshangaa kichwa cha habari na habari yenyewe
 
Kazi kweli kweli, hivi inakuwaje mtu anafuatilia maisha ya mtu kiasi hiki? Amefahamuje taarifa za KIM hizi zote? It means wako close, huu urafiki wa mashaka kwa kweli. Bora Kuishi kivyako kama ngozi nyeupe
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom