Kwanini huwa tunawapa Uongozi watu ambao hawana uwezo wa kutuongoza?

Kigugumiza

JF-Expert Member
Mar 7, 2022
508
686
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike
 
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike

Mkuu uliwahi kuyasikia madai ya katiba mpya?
 
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike
Jenga hoja ueleweke, usiishie kulalamika kuhusu maisha kudidimia siku hadi siku maana hicho ni kilio cha Dunia nzima.
Ila kiuhalisia ni kwamba inategemea wewe unategemea asali ipi?
 
Nimewahi kuyasikia ndugu yangu

Hudhani kwa kukosekana mustakabala I huu ndipo tatizo lilipo?

IMG_20220331_105854_750.jpg
 
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike
sabubu wanajua kuongea
 
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike
Kadri miaka inavyosonga mbele ndiyo tuvyozidi kupata viongozi wabovu
 
Halafu hata zero brain akishapata madaraka naye anataka mmwone ni genius! Namwangalia Sami naishia kusema hiiiiiiiiiiiiii!!
 
Kauli mbiu ya selikali ni kujikwamua hapa tulipo ili kwenda mbele zaidi yaani kupambana na Umaskini, ujinga,maradhi na mengineo.

Kwa muonekano wa hawa viongozi tuliyokuwa nao toka baada ya Nyerere kweli yupo aliyewahi au atakayekuwepo mwenye uthubutu,au wengi wako kwa ajili ya Maslai ya matumbo yao familia zao na jamaa zao.

Ni kweli siku moja na sisi tutakuja kujivunia Tanzania iliyopiga hatua ya vitendo sio ya mdomo chini ya hiki chama cha CCM kinachotaka kutawala milele huku maisha ya Watanzania kila siku yakiendelea kuwa mabaya.Nini kifanyike

Wewe familia yako ipo na hali gani? Itoe kwanza familia yako kwenye hayo ndipo udiscuss mambo ya kitaifa
 
Mfumo wa kupata viongozi wazuri ni mmbovu.

Kwa bahati mbaya sana hapa Tanzania ili ufanikiwe kisiasa basi inakupasa ujitoe ufahamu kwa kujipendekeza kwa wenye mamlaka.

Usipofanya hivyo hutoboi.

Jambo ambalo ni gumu sana kufanywa na wenye uwezo.

Labda wenye mamlaka wajifunze kukaa mbali na wanaojipendekeza jambo ambalo haliwezi kutokea maana nao pia wanapenda kutukuzwa.
 
Natamani nchi yetu pendwa ya Tanzania iwe na (1)Katiba inayosimamia maslahi ya Taifa na Wananchi wake,angalao Kama ilivyo Katiba ya KENYA kwa Sasa.Majirani zetu Kenya Wamepiga hatua kubwa Sana kwa Sasa.Mihimili yao mitatu mikubwa I.e.MAHAKAMA.BUNGE,na SERIKALI wanafanya vizuri Sana.Hakuna Mhimili Unaomuogopa mwenzie.Kinachofuatwa Ni Katiba inasemaje,Basi.(2)Natamani kuwe na Rais Mwenye kuisimamia vizuri Hiyo Katiba ya Warioba(Katiba ya Wananchi) ambayo Ni Lazima inakuja(viongozi wapende au wasipende),Maana Hiyo ndio haja ya Wananchi walio wengi kwa Serikali yao kwa Sasa.Kwa vyovyote ukibanwa na haja KUBWA,Huna budi kujisaidia,Huna jinsi.VINGINEVYO UTAUMIA.Serikali yetu imebanwa na HAJA KUBWA ya hitajio la Katiba mpya KUTOKA KWA WANANCHI.
 
Wewe familia yako ipo na hali gani? Itoe kwanza familia yako kwenye hayo ndipo udiscuss mambo ya kitaifa
Inawezekana kwa hatua niliyofikia inalizisha,maana sitegemea kudhuluma au kumuibia mtu kwa mgongo wa CCM mimi nafanya kazi kwa mikono yangu
 
Mfumo wa kupata viongozi wazuri ni mmbovu.

Kwa bahati mbaya sana hapa Tanzania ili ufanikiwe kisiasa basi inakupasa ujitoe ufahamu kwa kujipendekeza kwa wenye mamlaka.

Usipofanya hivyo hutoboi.

Jambo ambalo ni gumu sana kufanywa na wenye uwezo.

Labda wenye mamlaka wajifunze kukaa mbali na wanaojipendekeza jambo ambalo haliwezi kutokea maana nao pia wanapenda kutukuzwa.

Haya tuyabadili kwenye katiba mpya
 
Back
Top Bottom