zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Wakuu, hasa wajuzi (wataalamu) wa mambo ya sheria/mahakama, naomba mnijuze: Mara nyingi huwa nasikia mtuhumiwa anafikishwa mahakamani, say Kisutu kusomewa shitaka fulani, baadaye inasemwa kuwa, "mshitakiwa hakutakiwa kujibu lolote, kwa sababu mahakama hiyo haina uwezo wa kuendesha kesi hiyo!"
Nisichoelewa na ninachoomba wakuu mnisaidie kunielewesha, ni kwanini mtuhumiwa asipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama husika??
Nisichoelewa na ninachoomba wakuu mnisaidie kunielewesha, ni kwanini mtuhumiwa asipelekwe moja kwa moja kwenye mahakama husika??