Kwanini HR Managers na Business owners hawana Imani na freshers?

May 16, 2021
13
16
Kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukosa Ajira katika soko la Ajira hii sio kwamba hawana uwezo wa kufanya hiyo kazi au namna gani Bali ni kutokuaminiwa na baadhi ya ma Managers na kunyimwa opportunities za kufanya kazi jee ni nini kifanyike kukabiliana na hili tatizo???
20210925_072917.jpg
 
Kwanini wa HR Managers na Business owners hawana Imani na freshers???
Je ni freshers hawana weledi??
Wataharibu kazi???
Au roho mbaya za kutowaamini??
20210925_072917.jpg
 
Wingi wa graduates, unakuta wote wana qualify nafasi iliyotangazwa, wanaamua kuweka working experience kama restriction ya kupunguza idadi ya applicants
 
Mfano mdogo tu, unataka ufanyiwe upasuaji wa moyo, utapenda ufanyiwe na yule daktari mwenye uzoefu na upasuaji huo au utapenda ufanyiwe na yule asiyekuwa na uzoefu?
 
Ili uweze kuaminika unatakiwa ufanye jambo, kama kada yako ni 'publication' fanya 'publication' wazione, kama ni 'Software developer' peleka kitu ambacho umekifanya n.k Elimu ni ujuzi, vile vyeti ni ushuhuda tu; lakini uwe na cheti kizuri huku ujuzi hakuna ndipo majanga ya wengi yalipo.
 
Kuna hili swali unaweza kuulizwa wewe ni nani?Kiurahisi tu unaweza kujibu kawaida na ukahisi umepatia. Ili swali linahitaji uelezee uwezo wako kwa vitendo,kama ni mtu wa graphics uonyeshe vitu ambavyo vinashikika kukutambulisha wewe. cha muhimu tutafute ujuzi sahihi
 
Kwa hali ya kawaida tu sio rahisi mkuu. Ndio maana freshers mwajili wao mkuu ni serikali, taasisi binafsi zinataka faida mara dufu na sio kubahatisha.

Nadhani best option ni kujitolea kwenye taasisi mbalimbali upate ujuzi wa hiyo kada yako.
 
Mambo ni mengi, alichofundishwa fresher chuoni sio ambacho kinatakiwa kwny eneo la kazi au kimepitwa na muda, na fresher nae hataki kujiongeza sa unafkr itakuaje..?
 
Back
Top Bottom