Kwanini hiki chuo kisijengwe ARUSHA?

Mtoto wa Mkulima

JF-Expert Member
Apr 12, 2007
681
126
Hii dhana ya kuwa kila kitu kifanyike dar bila kuangalia strategic location nadhani ni matatizo ya kimaamuzi. Serikali inampango wa kujenga chuo kipya na cha kisasa cha utalii Dar. Mimi kwa moani yangu ningependekeza hiki chuo kijengwa Arusha ambako ndio kuna mandhari ya kitalii au badi Bagamoyo. Hii nadhani ninjia moja wapo ya kupunguza idadi ya watu Dar na kujenga ajira nnje ya Dar. Sio lazima kijengwe Arusha tuu lakini nasugest kisijengwe Dar.
Chuo cha kisasa cha utalii kujengwa Dar

2007-12-17 08:22:59
Na Futuna Seleman


Serikali inatarajia kujenga chuo kipya cha kisasa cha utalii, kitakachotoa mafunzo ya ngazi ya juu ili kuepusha Watanzania wengi kukimbilia nje ya nchi na kulipia gharama kubwa.

Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe, katika sherehe za mahafali ya tano ya Chuo cha Taifa cha Utalii.

Profesa Maghembe alisema kuwa, wizara kwa kushirikiana na serikali ya Ufaransa, tayari imefikia makubaliano ya kujenga chuo hicho jijini Dar es Salaam.

Alisema taratibu za kumpata mkandarasi zipo katika hatua za mwisho na wakati wowote kuanzia sasa ujenzi utaanza.

Waziri Maghembe alisema kuwa, inakadiriwa kuwa asilimia 7.4 ya ajira zote nchini ni za sekta ya utalii na katika kila ajira 13 moja ni ya sekta ya utalii hivyo ni changamoto kubwa ya kuhakikisha kuwa kunakuwepo na wataalamu wa kutosha na wenye sifa zinazotakiwa kutoka hapa nchini.

``Sambamba na ujenzi wa chuo kipya, wizara ina mikakati ya kuinua viwango vya mafunzo yanayotolewa na vyuo vingine vya hoteli na utalii ili viweze kutoa mafunzo bora yenye kukidhi mahitaji ya soko,`` alisema Waziri Maghembe.

Alisema kuwa, katika miaka ya hivi karibuni sekta ya utalii katika pato la Taifa imekuwa ikiongezeka mwaka hadi mwaka ambapo katika miaka ya 80 ilikuwa inachangia asilimia moja ya pato la Taifa ambapo hadi kufikia mwaka 2006 imeongezeka hadi kufikia asilimia 17.

Aidha, alisema idadi ya watalii wanaotembelea nchini imeongezeka kutoka wastani wa watalii 525,121 mwaka 2001 hadi kufikiwa watalii 644,124 kwa mwaka 2006.

Alifafanua kuwa katika kipindi hicho mapato yanayotokana na utaliii yaliongezeka kutoka dola za kimarekani milioni 725 hadi kufikia milioni 862 ambapo aliongeza kuwa sekta ya utalii ni ya pili katika kuchagia pato la taifa ikitanguliwa na sekta ya kilimo.

Aidha, alisema wizara inaandaa mitaala ya kitaifa ya mafunzo ya hoteli na utalii itakayotumiwa na vyuo vyote nchini kazi ambayo itafanywa na NACTE ambao wanajukumu la kudhibiti ubora wa mafunzo.

Kadhalika alisema, utafiti umebaini kuwa nafasi nyingi za uongozi wa juu katika sekta ya hoteli na utalii ziko mikononi mwa wageni hali inayotokana na chuo kutoa mafunzo katika ngazi ya cheti tu kwa muda mrefu tangu kianzishwe.

Alisema kwa mara ya kwanza chuo hicho kimewatunuku wahitimu wa stashahada ya usafirishaji na utalii ambayo imehakikiwa na NACTE hivyo itasaidia wahitimu hao kuwa washindani katika soko la ajira na kuwa na uwezo wa kujiajiri.

``Chuo kimeanzisha programu hiyo, nataka muendelee kuanzisha programu nyingine za uongozi katika fani ya hoteli mara ya ujenzi wa chuo kipya utakapokamilika kwani kutakuwa na vifaa vya kisasa na vya kutosha,`` alisema Professa.

Aliwataka Watanzania kuwa wa kwanza kujiandikisha na kufaidi matunda ya chuo kitakachojengwa kwa kujiendeleza zaidi.

``Ni vyema tukatumia vyuo vyetu hapa nchini badala ya kukimbilia nje ya nchi ambapo huenda gharama zake zikawa ni za juu zaidi,`` alisema

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa bodi ya ushauri wa wizara hiyo Bi Blandina Nyoni aliwaasa wahitimu hao kuwa, wawakilishi wazuri mahali popote watakapokwenda kwa kufanya kwa uadilifu na uaminifu kwa kuzingatia utoaji huduma wa kiwango cha juu na cha kitaalamu.

Pamoja na mambo mengine alisema kuwa, nchi ina vivutio vya utalii maarufu na vyenye hadhi na ubora wa hali ya juu lakini ili inufaike hakuna budi kuwekeza katika rasilimali watu ili kiwango cha huduma zinazotolewa kwa watalii na wageni ziendane na ubora wa vivutio vilivyopo nchini.

SOURCE: Nipashe
 
Hii dhana ya kuwa kila kitu kifanyike dar bila kuangalia strategic location nadhani ni matatizo ya kimaamuzi. Serikali inampango wa kujenga chuo kipya na cha kisasa cha utalii Dar. Mimi kwa moani yangu ningependekeza hiki chuo kijengwa Arusha ambako ndio kuna mandhari ya kitalii au badi Bagamoyo. Hii nadhani ninjia moja wapo ya kupunguza idadi ya watu Dar na kujenga ajira nnje ya Dar. Sio lazima kijengwe Arusha tuu lakini nasugest kisijengwe Dar.

Naikubali hii 100%, kila kitu Dar na miji mingine itapanuka vipi kama hawataweza kusambaza huduma kama hizi mikoani. Angalia sasa hivi Dodoma inavyokuwa kwa kasi ni kwasababu za msingi za wanaojua kupeleka huduma za kijamii kama hizi za vyuo huko. Huyu Maghembe nae tutaanza kutia mashaka na visions zake naona kama anaenda kwa nguvu za upepo hamna maamuzi ya maaana anayoyafanya.

Halafu eti ndio Prof? Hivi huduma hizi ni lazima ziwe Dar peke yake jamani? Mbona hawa watu hawaambiliki au ndio mnataka tuwe kama Ufilipino kuandamana nchi nzima. Kwanza acha tusubiri tuone kama atabakia hapo wizarani itakapofika January tarehe za kati ya mwezi.

Mikoa kama Ruvuma, Rukwa, Singida, Lindi, Mtwara, Kigoma, Shinyanga, Tanga itakuwa lini kama Dar???????
 
Hawa wanapenda tu kongeza msongamano wa magari Dar!
Kwani Dar kuna utalii gani wa maana? Kijengwe- Bgy, Moshi, Arusha ambako ndo kuna watalii wengi!
 
mbona watu mwashindwa kuelewa hicho chuo ni kwaajili ya watali? ama cha mafunzo yautali?isomen maada muielewe msikurupuke oforo
 
kijengwe Lindi au Mtwara,Lengo ni kuongeza kasi ya Maendeleo ya Mikoa hiyo!
 
Kitakuwa pale mjini nyuma ya International House. Kwa sasa panatumika kama sehemu ya kuoshea magari.
 
mbona watu mwashindwa kuelewa hicho chuo ni kwaajili ya watali? ama cha mafunzo yautali?isomen maada muielewe msikurupuke oforo


Bwana huku sio kukurupuka. Chuo ni cha utalii hivi wewe unaweza kujenga chuo cha uvuvi DODOMA? Nyie mmezoea kufanya mambo kwa nadharia tuu na ndio maana practicaly?


Hawa wanafunzi wanatakiwa wa practice, kuna mambo ya camoing, kuna mambo ya tour guiding, kuna mambo ya field.

Tusiwe tunafikiria ndani ya mipaka tuu chuo kama hiki kina mambo mengi wachumi wanaita tricle down effect. Okay hebu tupe sababu ni kwanini wewe unaona hiki chuo kinafaa kiwe Dar?
 
Mtoto wa wakulima, Kuntakinte na MZalendo
Nilimuuliza Blandina Nyoni swali hilohilo alipotoka kwenye mkutano wa kuutangaza utalii China. Alisema hiyo ni requirement waliyotoa WTO, Tanzania haikuwa na ujanja ila kukubali. Lakini possibility kubwa ni huenda kikajengwa kibaha au Bagamoyo (not exactly Dar).
Lakini still kuna maswali mengi ya kujiuliza kama kweli hiki ni chuo cha utalii, maana sio rahisi mtu akaamua tu kuizawadia Tanzania kuijengea Chuo hiki, eti Tanzania imeonesha juhudi katika kuvutia watalii. Lakini ukinagalia ukweli wa mambo Kenya,Zimbabwe, Misri na Afrika Kusini zimefanya kzi kubwa zaidi na ya maana zaidi. Sijui ni kwanini Tanzania, na kwanini WTO walisisitiza karibu na Dar es salaam
 
To be exact kwa nini kisijengwe Karatu ambayo ndyo gateway ya kuingia Ngorongoro na Serengeti? Maamuzi mengine jamani!!Dar watu magari machinga tunasongamana. Kila kitu Dar kila Dar. Kunani???
 
The other option, kwanini wasizungumze na Chuo Kikuu cha Arusha na kusaidia kuwa na Kitivo cha Utalii kwenye Chuo hicho..?
 
Siku hizi kuna mkoa mpya wa Manyara..ambapo ni center nzuri tu,na kuna vivutio vingi vya utalii..na vile vile hakuna chuo hata kimoja hata cha ualimu au VTC! sijui kwa nini hawafikirii diversification..
 
Mtoto wa wakulima, Kuntakinte na MZalendo
Nilimuuliza Blandina Nyoni swali hilohilo alipotoka kwenye mkutano wa kuutangaza utalii China. Alisema hiyo ni requirement waliyotoa WTO, Tanzania haikuwa na ujanja ila kukubali. Lakini possibility kubwa ni huenda kikajengwa kibaha au Bagamoyo (not exactly Dar).
Lakini still kuna maswali mengi ya kujiuliza kama kweli hiki ni chuo cha utalii, maana sio rahisi mtu akaamua tu kuizawadia Tanzania kuijengea Chuo hiki, eti Tanzania imeonesha juhudi katika kuvutia watalii. Lakini ukinagalia ukweli wa mambo Kenya,Zimbabwe, Misri na Afrika Kusini zimefanya kzi kubwa zaidi na ya maana zaidi. Sijui ni kwanini Tanzania, na kwanini WTO walisisitiza karibu na Dar es salaam



Mkuu unajua ndio hivyo omba omba hana la kuchagua. Kama donor ndio wameshaamua hivyo inamaana jamani serikali haina maamuzi ya kupendekeza? Duh sasa hizi ndizo adha za kuzunguka duniani kuomba misaada maana huna sauti nayo. Unajua kama huna ile ownership na mradi wala hauwezi kuwa sustainable na hili ni tatizo la miradhi mingi ya donors haidumu. Sasa jamani kweli wakituambia tukajenge chuo cha ubaharia dodoma tutakubali tuu kwa sababu wao wamesema?


The other option, kwanini wasizungumze na Chuo Kikuu cha Arusha na kusaidia kuwa na Kitivo cha Utalii kwenye Chuo hicho..?


Bwana hii nayo ni option nzuri na wangeenjoy economies of schale ya facilities za chuo cha arusha. Inaweza tuu ikawa kama fucult tuu. Najua chuo cha uhasibu Arusha sasa sio chuo cha uhasibu tena maana wanatoa hadi shahada za computer sayance. Lakini mwanakijiji hapa kuna institutional conflict kwani hiki chuo cha Arusha ni cha Wizara ya fedha, na hiki kipya ni cha wizara ya Utalii.

Siku hizi kuna mkoa mpya wa Manyara..ambapo ni center nzuri tu,na kuna vivutio vingi vya utalii..na vile vile hakuna chuo hata kimoja hata cha ualimu au VTC! sijui kwa nini hawafikirii diversification..


Ni kweli kabisa mzee na hii ingechangia maendeleo ya hayo maeneo sasa wakubwawao kila kitu wanataka bongo maya be kuna kaugonjwa kakupenda bongo na ndio maana serikali imeshindwa kuhamia Dodoma.
 
1. Kiwanda cha kukata Alamasi kilijengwa Iringa kwa sababu za kisiasa- wakati almasi inachichwa Shinyanga- je leo TANCUT Almasi iko wapi?

2. Hiki chuo cha Utalii kijengwe sehemu yenye watalii na vivution vya vya watalii- mimi Dar siungi mko mkono- Arusha, Moshi (hata Zanzibar)- ni ok
 
mshaambiwa ni conditon hiyoo tuliyopewa...so twardui kwenye speed ile ile modern ukoloni!!ardhi yetu lakini twaambiwa cha kufanya with our ardhi n where to build our things..
may b watalii wa kichina waliona utalii dar es salaam si mwaona wengi walivyojaa kariakoo??
 
Jamani hii kitu ndio tulikuwa tunaijadili wenzetu wa Kenya nadhani wana vision kuliko sisi.

University set to boost tourism industry with new degree course

Story by KENNEDY MASIBO
Publication Date: 1/8/2008
Egerton University will be the first public institution to offer a degree course in eco-tourism and environmental management.


Prof Rose Mwonya of Egerton University presents a certificate to a Hotels & Tourism Management graduate recently. Photo/JOSEPH KIHERI
The deputy vice-chancellor Academic Affairs, Prof Rose Mwonya, said the institution has given opportunity to students to prepare for lifetime careers at this time when their number is overwhelming.

The university has in the last three years been collaborating with the Lake Nakuru Tourism Management college to offer certificate course in the same field.

She said the university rose to take up the challenge in line with it’s policy of moving away from the ivory tower position to the society.

She praised those behind the idea, saying, “it requires greater minds to conceive such idea and even greater minds to implement it.

“We as an institution have been moving away from what we do here and see to it that the society around us benefits from us,” she said.

This is definitely a boost to the hospitality industry, which has been disregarded by many Kenyans in the past, said the DVC, describing the partnership idea as ‘great’. The university wanted to help train a pool of people to manage the industry.

Dogged by lack of training

Many students interested in careers in the industry have been dogged by lack of training opportunities. Quality courses are mainly offered at the Government-owned Utalii College, Nairobi.
Utalii is the premier institution in the country involved in training of personnel in the hotel industry.

According to Mr Joel Laitete, a lecturer at the college, already some 147 students have completed courses at the Lake Nakuru Tourism Management College.

Some of the courses undertaken include front office services, food and beverage, housekeeping and laundry, food production and tours.

All the graduates from the college, he said, had been absorbed in various hotels where they are offering quality services to clients.

The curriculum offered is approved by the university, whose lecturers teach basic courses and process examinations undertaken.

The dean at the Faculty of Environment and Agriculture, Mr William Shivoga, said tourism being the second foreign exchange earner after agriculture, all efforts should be made to ensure there is well trained manpower for the sector.

Third graduation

During the third graduation at the Summit Resort hotel last week, the registrar of Academic Affairs at the University, Mr Mwaniki Ngari, said they were grateful for the collaboration with the college.

The hotels that are behind the opening of the college are Lake Nakuru Lodge, Sarova Lion Hills, Bontana and Merica hotels.

The chairman of the college’s management committee, Mr Joseph Muya, and a hotelier in the region said the idea was conceived after it was discovered that there was lack of good quality training despite the growth in tourism.

“We are not commercially oriented but only want to assist students who are unable to get quality education which is prohibitive at Utalii College or other private institutions,” he said.

He said those who have gone through the college should further their education since training opportunities were opening up.

Mr Muya said it was unfortunate that despite the tourism boom in the town, many people had not taken advantage to train in courses related to the sector.

He said that, with the attractive geological formations, landscape, water bodies and numerous wildlife species, national parks in the Rift Valley Province continue to play a major role in boosting the country’s revenue base.

Mr Muya has been behind the Lake Nakuru Action Plan committee, which has in the past several years organised a fund-raising event called Cycle with Rhino, to raise money for conservation of wildlife and reducing human-wildlife conflict.

Mr Muya also chairs Friends of Lake Nakuru, a lobby involved in protecting the lake and its environs.

He says he has travelled around the country promoting tourism adding it was paramount to protect and enhance all the aspects that sustain the sector.

Mr Muya said domestic tourism was also being encouraged and many Kenyans were frequenting the park alongside international tourists.

He also runs the Summit Resort hotel, situated just outside the park.

Key natural attractions like the Lake Nakuru National Park, Menengai Crater and archaeological sites like Hyrax Hill, have boosted tourism in Nakuru and the Rift Valley region.

The park currently handles over 300,000 tourists annually with most visitors coming from Britain, Germany and United States.

The park was branded last year in a rehabilitation exercise undertaken by the Kenya Wildlife Services to boost its attraction.

Lake Nakuru has a large population of unique bird species that are a major attraction to tourists from all over the world.

Apart from its local attraction, Nakuru offers a central point of departure where tourists can access the numerous other attractions in the vast region.

Among the attractions are lakes Bogoria, Baringo and Naivasha, Longonot crater, Aberdare Ranges and Mau Escarpment.

There are several high class hotels along the South Lake Naivasha, which attract many tourists.

http://www.nationmedia.com/dailynation/nmgcontententry.asp?category_id=39&newsid=114142
 
hivi Kuntakinte, wewe ndiye yule Flana worrior, au ni mwingine. ninapenda sana jina lako, nikikumbuka na vile huyu jamaa alivyokuwa shujaa. it is just a mere jock.

mimi ninaona chuo hiki kisipelekwe dar. hawa watu vipi.?akini?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom