Si kweli, acha kupamba ujinga. 80% ya wagonjwa wa Covid-19 wanapona wenyewe, how are you sure kuwa hao ndugu zzako hawapo kwenye kundi hilo?Hii dawa ya NIMRI ya kupambana na virus naona inasaidia sana kwani imesaidia jamaa zangu waliokuwa mahututi. Swali nikwanini haisambazwi sana nakutoa maelekezo jinsi ya kuitumia?
Si kweli, acha kupamba ujinga. 80% ya wagonjwa wa Covid-19 wanapona wenyewe, how are you sure kuwa hao ndugu zzako hawapo kwenye kundi hilo?
Uzuri hii dawa mtu anaweza akatengenezea nyumbani, na ninadhani ndo lilikua lengo lao halisi... Dawa ni watu kupewa ile recipe na kusambaziana kwa wingi ila kwa kweli ni nzuri hata kwa wenye asthma na vikohozi/flueHii dawa ya NIMRI ya kupambana na virus naona inasaidia sana kwani imesaidia jamaa zangu waliokuwa mahututi. Swali nikwanini haisambazwi sana nakutoa maelekezo jinsi ya kuitumia?
Uzuri hii dawa mtu anaweza akatengenezea nyumbani, na ninadhani ndo lilikua lengo lao halisi... Dawa ni watu kupewa ile recipe na kusambaziana kwa wingi ila kwa kweli ni nzuri hata kwa wenye asthma na vikohozi/flue
Sent using Jamii Forums mobile app
This is a new infection, a lot is desired to make a firm scientific finding!Kama mtu hana tatizo la kifaya hata corona is issue sana
Mkuu inasambazwa sana tu hapa Dar na yametolewa maelekezo jinsi ya kutengeneza unaweza tengeneza mwenyewe nyumbani mkuu. Haya hapa maelekezoHii dawa ya NIMRI ya kupambana na virus naona inasaidia sana kwani imesaidia jamaa zangu waliokuwa mahututi. Swali nikwanini haisambazwi sana nakutoa maelekezo jinsi ya kuitumia?
Hapo ni Chattle mkuu?Mwanasiasa akikuambia usiku mwema toka nje uangalie kama kweli usiku umeingia.View attachment 1447661
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu jamaa ni wa ajabu sanaHii dawa ya NIMRI ya kupambana na virus naona inasaidia sana kwani imesaidia jamaa zangu waliokuwa mahututi. Swali nikwanini haisambazwi sana nakutoa maelekezo jinsi ya kuitumia?
Pata fomula yake na utengeneze mwenyewe ndio nzuri zaidi kuliko ya kuuziwa ambayo mara nyingi imesha expire. Ni tangawizi, vitunguu, pilipili (sio lazima), saga, changanya na maji ya moto kunywa kutwa mara tatu.Hii dawa ya NIMRI ya kupambana na virus naona inasaidia sana kwani imesaidia jamaa zangu waliokuwa mahututi. Swali nikwanini haisambazwi sana nakutoa maelekezo jinsi ya kuitumia?
Hizo hatua unazofikiri wewe Moja wapo ni hii ya dawa nayo ni hatua.Tatizo utumwa wa kifikra umetutawala Sana,basi ngoja tufanye mpango dawa hii itokee ulaya kwa lebo nyingine na jina lingine,kwa sababu Imani uponya na hapa Cha Kwanza ni kupata Imani yako ndipo dawa ifanye kazi.Itawagharimu sana watu wenye upeo mdogo kuelewa mambo..
Tambueni hakuna Dawa ya Covid 19 hadi sasa iliyothibitishwa kiasi cha watu kubweteka.
Kusikia na kuelewa ni vitu viwili tofauti.
Zingatieni hatua zote za kujinusuru dhidi ya Covid 19
NB: Ugonjwa huu si sehemu ya kujipongezea au kujipatia sifa za siasa,dini au kabila.
Mkuu useme basi mbona mchanganyiko umekuepo na kweli husaidia sana katika respiratory infection hata wakati tunafunga vyuo wakati covid inaanzaUzuri hii dawa mtu anaweza akatengenezea nyumbani, na ninadhani ndo lilikua lengo lao halisi... Dawa ni watu kupewa ile recipe na kusambaziana kwa wingi ila kwa kweli ni nzuri hata kwa wenye asthma na vikohozi/flue
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nilitaka nimjibu hivi maana hajui NIMR ni nn huyu mtu.Nimri ( national institute for medical research ). Ni taasis ya serikal inayofanya research za kitabibu. Hawatengenezi dawa ila dawa zinatengenezwa na watu binafsi au makampuni then wanaleta NIMR iki kuchunguzwa kama kweli zina ubora na zinatibu.
Process hiyo sio ya siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app