we utakuwa gadafi rais wa irak km sikoseiAlidanganya ati wakati anaingia madarakani bei ya sukari ilikua 5000
Alishangiliwa na mazuzualipendwa kushangiliwa.
Na wewe itakuwa mlinzi wa legasi tunjia ni nyepesi mfuate uko juu muulize
Tumechoka na hizi mada
Hivi hakuna kingine cha kuongelea?
Mtu mwenyewe hayupo mnakera