JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,356
- 9,611
Rudia tena kusoma.Ulitaka kuandika nini yatima? Nenda kafanye hija chato kwenye kabuli la huyo jahili wenu aliyepo kuzimu.
Rudia tena kusoma.Ulitaka kuandika nini yatima? Nenda kafanye hija chato kwenye kabuli la huyo jahili wenu aliyepo kuzimu.
Hujaelewa nini!Nashindwa kukuelewa, wewe ni kinyonga au popo??? Simamia na kuitetea unachokiamini. Ref Uzi wako wa Juzi.
Mbowe nae anapaswa kutuambia kuhusu utaratibu uliotumika mpaka yule tulieaminishwa na chama kuwa fisad papa kupewa nafas ya kugombea urais kwa njia ya kubadil gia angani au kwel jamaa hiyo nafas aliinunua???Ni wakati sasa CCM iwaulize balozi Bashiru na Mwalimu Polepole namna walivyoweza kununua wapinzani kutoka CDM.
Kila mwanasiasa ana dau la kununuliwa. Mfano Dkt.Slaa, Dk.Masinji, Lijualikali, Halima Mdee, Yule aliyekuwa mbunge wa Alumeru n.k
Nawakubali Tundu Lissu na Mbowe maana hawana dau labda wazibwe midomo.
Hao uliowataja kuwa wanapokea minono ya nchi, hawani amani kabisa mioyoni mwao. Kubwa zaidi masimango toka huko walikokimbilia. Hakuna hata mmoja ajuae kesho yake.Ndiyo maana leo hii mh Mbowe yupo lupango akiteseka kama mhalifu kisa tu aliwakatalia kununuliwa kama watumwa.
Mh Lissu yaliyo mpata hakuna mtu asiye yajua dunia mzima.
Lkn kina Lijualikali waliokubali kugeuzwa mlenda leo wanapokea mishahara minono.
Laana hiyo,Ni wakati sasa CCM iwaulize balozi Bashiru na Mwalimu Polepole namna walivyoweza kununua wapinzani kutoka CDM.
Kila mwanasiasa ana dau la kununuliwa. Mfano Dkt.Slaa, Dk.Masinji, Lijualikali, Halima Mdee, Yule aliyekuwa mbunge wa Alumeru n.k
Nawakubali Tundu Lissu na Mbowe maana hawana dau labda wazibwe midomo.
Hakika wanastahili kuoukutishwa maana usaliti ni dhambi kuu ndiyo maana hata kwenye vitabu vitukufu umelaanikaHao uliowataja kuwa wanapokea minono ya nchi, hawani amani kabisa mioyoni mwao. Kubwa zaidi masimango toka huko walikokimbilia. Hakuna hata mmoja ajuae kesho yake.
Ndoto za hawa watu zilikuwa ni kukamata nafasi za Kisiasa za kuchaguliwa na sio za kuteuliwa.
Nafasi za kuteuliwa ni sawa na majani kwenye mti. Wakati wowote yanaweza kupukutishwa. Au mti wenyewe kukauka. Hawa wote tuwape muda mti unaweza kukumbwa na kiangazi wakati wowote. Hivyo kuyapukutisha majani yote.
Ulichokiandika juzi na leo ni tofauti kabisa. Nashindwa kukuelewa wewe ni ndege au mnyama na rangi yako ni ipi?? Una hoja nzuri sana lkn huna msimamo.Hujaelewa nini!
Hii andiko lako litaisaidiaje Taida kupata Katiba Bora na MpyaNajua Dkt Bashiru Ally Kakurwa na kaka yangu Humphrey Polepole wanajua na Mungu anajua aliyewaondoa kwenye nafasi zao ndani ya Chama cha Mapinduzi za Ukatibu Mkuu wa Chama na Ukatibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Taifa ni Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli.
Kwamujibu wa Sera mpya ya "CCM MPYA " waliyoiasisi wao wenye chini ya Uenyekiti wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwamba " Kofia Moja Mtu Mmoja" Iliwatupa nje ya uongozi wa Chama automatically baada tu ya wao kukubali Uteuzi wa Ukatibu Mkuu kiongozi na Ubunge wa Bunge la JMT kwani walishakosa sifa za kuwa katika nafasi zao kwa sera yao hiyo hiyo mpya ya Chama.
Wakati flani nawashangaa wana-CCM wanaompakazia Mwenyekiti wa sasa Ndg Samia Suluhu Hassan kuwa ndie aliyewaondoa kwenye nafasi zao za Uongozi ndani ya Chama hawa mabwana, Kibaya zaidi watu hawa wote ni walimu na mwingine anayo shule ya Uongozi ila sijawahi kusikia wakilitolea Ufafanuzi jambo hili "Kofia moja Mtu Mmoja " kwenye nafasi zao kama wanavyofanya kwa mambo mengine , Naamini baada ya hili andiko watalitolea ufafanuzi jambo hili kwaajili ya ustawi wa Chama na Serikali kwa ujumla wake.
" Kofia Moja Mtu Mmoja " Baada tu ya Mhe Humphrey Polepole kuwa Mbunge tayari alishaondolewa kwenye Ukatibu wa NEC Itikadi & Uenezi Wana-CCM mnajua na Mungu anajua lakini pia baada ya Mhe Dkt Bashiru Ally Kakurwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi tayari alishaondolewa kwenye Ukatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi hili Wana-CCM wanajua na Mungu ,CCM msifitinishwe shtukeni.
View attachment 2009572
Hawa jamaa walikuwa ni outcast na kuna wengine wapo kama wabunge watu kama mwana fa na babu tale wametoka wapi kwenye chama?kuna watu wamekipiganiq chama sana na walitegemea matundq katokea mtu mmoja kavuruga utaratibu wote nasema tena kwenye nafsu zao wanajua walibebwa tu na ukweli hawakupaswa kuwa pale ata kidogo.Najua Dkt Bashiru Ally Kakurwa na kaka yangu Humphrey Polepole wanajua na Mungu anajua aliyewaondoa kwenye nafasi zao ndani ya Chama cha Mapinduzi za Ukatibu Mkuu wa Chama na Ukatibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa Taifa ni Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli.
Kwamujibu wa Sera mpya ya "CCM MPYA " waliyoiasisi wao wenye chini ya Uenyekiti wa Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli kwamba " Kofia Moja Mtu Mmoja" Iliwatupa nje ya uongozi wa Chama automatically baada tu ya wao kukubali Uteuzi wa Ukatibu Mkuu kiongozi na Ubunge wa Bunge la JMT kwani walishakosa sifa za kuwa katika nafasi zao kwa sera yao hiyo hiyo mpya ya Chama.
Wakati flani nawashangaa wana-CCM wanaompakazia Mwenyekiti wa sasa Ndg Samia Suluhu Hassan kuwa ndie aliyewaondoa kwenye nafasi zao za Uongozi ndani ya Chama hawa mabwana, Kibaya zaidi watu hawa wote ni walimu na mwingine anayo shule ya Uongozi ila sijawahi kusikia wakilitolea Ufafanuzi jambo hili "Kofia moja Mtu Mmoja " kwenye nafasi zao kama wanavyofanya kwa mambo mengine , Naamini baada ya hili andiko watalitolea ufafanuzi jambo hili kwaajili ya ustawi wa Chama na Serikali kwa ujumla wake.
" Kofia Moja Mtu Mmoja " Baada tu ya Mhe Humphrey Polepole kuwa Mbunge tayari alishaondolewa kwenye Ukatibu wa NEC Itikadi & Uenezi Wana-CCM mnajua na Mungu anajua lakini pia baada ya Mhe Dkt Bashiru Ally Kakurwa kuteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi tayari alishaondolewa kwenye Ukatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi hili Wana-CCM wanajua na Mungu ,CCM msifitinishwe shtukeni.
View attachment 2009572
Si ajabu wewe ukawa mshenzi zaidi yake ila ndio hivyo hatukujui.Hawezi kupumzika kwa amani mtu mshenzi kama yule.
Asante Mungu kwa kutuondolea huyu shetani bila umwagaji damu.🙏🙏
Yatima unateseka ukiwa wapi?Si ajabu wewe ukawa mshenzi zaidi yake ila ndio hivyo hatukujui.