Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Taarifa naamini unazo tuIkiisha mtupe taarifa
Taarifa naamini unazo tuIkiisha mtupe taarifa
Sukuma gang kwisha habari zenu
Hakuna tuachoweza kujivunia kilichofanywa na sukuma gang zaidi ya ubaguziVipi mna umeme na maji huko kwenu? Huku kwetu tangu asubuhi hatuna umeme wala maji. Wasukuma walijua kunyoosha nchi, sasa cha moto tunakiona.
Haya wazanzibari sasa mmepewa nchi.Hakuna tuachoweza kujivunia kilichofanywa na sukuma gang zaidi ya ubaguzi
Kazi inaendelea vema kabisaHaya wazanzibari sasa mmepewa nchi.
Ni kweli kabisa Mkuu, hakuna ubishi juu ya hili.#Tanzania bila CCM imara itayumba sana tuipiganie,
Yeah tunaona yanayoendelea hilo kila mtu anaona.Kazi inaendelea vema kabisa
Poleni sukuma gangYeah tunaona yanayoendelea hilo kila mtu anaona.
Sie tushapoa mkuu tunaangalia jinsi nchi inavyoongozwa na wazanzibari.Poleni sukuma gang
Tunakula nchi kama kawa!! Wewe endelea kuweweseka tu humu JF mwisho utakuwa kikongwe bila lolote!Sukuma gang kwisha habari zenu
CcM imara angeijenga Magufuli si kwa ushabiki Ila kwa misimamo na uthubutu wake.#Tanzania bila CCM imara itayumba sana tuipiganie,