Kwanini hawa Mama N'tile karibu na Kituo cha Polisi wanaongea kwa amri kama Polisi?

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,720
Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.

Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.

Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.

Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".
 
Ukiona ndege analeta fujo barabarani ujue ana kiota karibu ambacho anaweza kukimbilia na kujificha.
 
Kiotuo kipi cha Polisi unachokiongelea?

Halafu kwani umelazimishwa kwenda kula hapo?
Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.

Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.

Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.

Swali nililo muuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani"
 
Mpe vitasa halafu mwambie nenda kaseme halafu chukua kiti kaa au kama kunakaduka pendeni agiza soda takuja kulipa
 
Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.

Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.

Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.

Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".
Hii nchi inazidi tu kuwa ngumu siku hadi siku! Hebu tuambie basi hao mama ntilie wanapatikana karibu na kituo gani cha polisi ili tuje na sisi tushuhudie.
 
Siku moja nikapita maeneo karibu na kituo cha Police. Hiyo sehemu ya kituo kwa karibu kidogo kuna mama ntilie wanauza chai na chakula cha mchana.

Kufika pale yaani si unafahamu zile tabia za Polisi walivyo vituoni kama kujibu kwa zadhau, shurta, kujiskia sana wakiona uwanyenyekee.

Basi nikakuta kwa mama ntilie huyo, sikupenda kwa kweli.

Swali nililomuuliza :"Hivi wewe kuwa karibu na kituo cha Polisi unajiona kama Polisi vile. Je, ukiwa karibu na makaburi utajiona kama nani".
Alikujibu nini kwenye ilo swali ulilomswalika?
 
itakuwa ulikuwa na masharti mengi kama upo kwa mkeo ndio maana akakujibu nyodo.
Halafu ukute hapo umeagiza wali na mchuzi mtupu bila nyama wa buku.
 
Back
Top Bottom