Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,402
- 5,984
Hakuna cha bure duniani "there's no free lunch every where in the world"Hivi unajielewa kweli? Benki yenyewe ukikopeshwa usipolipa kwa wakati unanyang'anywa mali zako ili uwe na utimamu.
Je, wewe unataka ukope ikahonge alafu wakati wa kulipa uonewe huruma kitu ambacho ni mjinga tu anaweza kufikiri.
Ustaarabu unaouona kwa mzungu ni vile tu anakuchekea huku akikupa dawa za kufubaza virusi vya ukimwi