Kwanini hataki kabisa kukosolewa, sijui tatizo ni nini?

Bado sijamuelewa mleta hii topic kalenga nini?Maana sisi wengine tuna mkosoa kwa sana na panapo staili kupongeza tufanya hivyo bila shida.

Tatizo la wengine wanateswa na unafiki wao wanangalia yale ya kukosoa yale ya kupongeza wanajidai mataahira hawayaoni.

Lakini mbona waTz tuna kuwa wa sahaulifu!!!. Hivi hamjui Mh JPM ameupata uongozi mkuu wa nchi hii kwa sifa zake za utumishi wa umma ulio kuwa wa heshima na kutukuka? Ni kweli kuwa tumesahau hili?. Walio kuwa wanajitembeza kuusaka urais hamkuwaona? Mmewasahau?

Ange kuwa hashauriki hayo aliyo ya fanya kwenye wizara alizopotia kama Naibu na Waziri mpaka ya kumpa heshima hii wote tunayo ikiri kwa jinsi ya utendaji wake,, Kwa vipi haya ya ngewezekana kama hashauriki?

Wito wangu ni tujitahidi kumsupport Mr President maana wengine hatuna shaka na dhamira yake njema kwa Taifa hili na sisi wananchi kwa ujumla. Mkumbuke pamoja na kwamba yeye ni Rais wetu bado ni mwanadamu si malaika kina chotakiwa kwetu wananchi na hasa wanao msaidia kazi kujiamini na kumpa ushauri wenye nia njema mbao hata unapo jihoji mwenyewe nafsi yako haikusuti kuwa hakika ulikuwa na nia njema ya huo ushauri.

Na washawasha!
 
Moja ya jambo ambalo linanisikitisha kwa Mh ni hili la kujihami. Amekuwa mtu aliyetengeneza mazingira ya kutokosolewa, akikosolewa tu basi ujue umejitakia matatizo lolote linaweza kukuta.

Ili kudhihirisha hili moja kuonesha hofu hiyo aliagiza Bunge lisioneshwe mubashara kuhofia kuwa wananchi watashuhudia mijadala mbali mbali ya kukosoa utawala wake na kuibua madudu kitu ambacho inaonekana hafurahishwi nacho. Walikuja na kisingizio cha gharama, lakini walipojitokeza wadhamini was vipindi vya Bunge wakaja na sababu ya kupoteza muda badala ya kufanya kazi. Hizi ni sababu dhaifu mno.

Jambo lingine ni kamata kamata ya watu walioonekana kuhoji mambo anuai kwa yeye ama utawala wake, mathalani Godbless Lema na sasa Ben Saanane kapotea na haijulikani kapotelewa wapi na Serikali imekaa kimya. Japokuwa inafahamika kuwa naye alihoji PhD ya Mkuu.

Vyombo vya Habari pia vimetungiwa sheria ambayo inavikandamiza. Hii ikiwa na maana kwamba habari za kuandika ni zile za kusifia Utawala tu.

Je, ni kweli Mungu anaruhusu haya yanayotekea maana tumeambiwa tumuombee kwa Mungu?

Kwanini hataki Kukosolewa na hali ni Binadamu?

NB: Mh Ungewaacha Waongee mwisho wake watatulia wenyewe, wapuuze tu na hawana madhara kwako maaana wewe ndiwe Boss.
Haya uliyoandika hapa sio ukosoaji? Hebu usiwe mchochezi wa mambo ambayo huna uhakika nayo. Hivi CDM kuna mtu anaweza kumkosoa Mwenyekiti wa kudumu na akabaki salama? Kuwa mkweli usiwe mzushi
 
Bado sijamuelewa mleta hii topic kalenga nini?Maana sisi wengine tunamkosoa kwa sana na panapo staili kupongeza tufanya hivyo bila shida.

Tatizo la wengine wanateswa na unafiki wao wanangalia yale ya kukosoa yale ya kupongeza wanajidai mataahira hawayaoni.

Lakini mbona waTz tunakuwa wa sahaulifu. Hivi hamjui Mh JPM ameupata uongozi mkuu wa nchi hii kwa sifa zake za utumishi wa umma ulikuwa wa heshima na kutukuka. Ni kweli kuwa tumesahau hili?. Walio kuwa wanajitembeza kuusaka urais hamkuwaona? Mmewasahau?

Ange kuwa hashauriki hayo aliyo ya fanya kwenye wizara alizopotia kama Naibu na Waziri mpaka ya kampa heshima hii wote tunayo ikiri kwa jinsi ya utendaji wake, vipi haya ya ngewezekana?

Wito wangu ni tujitahidi kumsupport Mr President maana wengine hatuna shaka na dhamira yake njema kwa Taifa hili na sisi wananchi kwa ujumla. Mkumbuke pamoja na kwamba yeye ni Rais wetu bado ni mwanadamu si malaika kinachotakiwa kwetu wananchi na hasa wanao msaidia kazi kijiamini na kumpa ushauri wenye nia njema mbao hata unapojihoji mwenye nafsi yako haikusuti kuwa hakika ulikuwa na nia njema ya huo ushauri.

Na washawasha!
Ni mtu mzuri kwa kuonesha kuchukia matendo maovu hilo sawa, ila hataki kukosolewa wala hilo usipinge. Swala LA Bunge kutooneshwa LIVE tatizo ni nini? Tuanze na hapo kwanza, maana zaidi ya 90% ya Wananchi wanataka kuona Mijadala ya Bunge Live.
 
Hivi pale UFIPA kuna mwana chama yoyote anaeweza kumkosoa Mbowe?
Again very stupid fool, kwanza mwenye mada hajasema yeye ni mwanachama wa Chadema na pili hoja yake haizungumzii Mwenyekiti wa CCM kutotaka kukosolewa bali inazungumzia rais wa nchi.
Hivi huoni kwamba kuwa mpumbavu siyo fahari? Nini kisichoeleweka hapo mpaka uingize habari za Mbowe?
 
Hii siyo hoja. Kwasababu CHADEMA wanafanya mambo ya hovyo na serikali tukufu ifanye ya hovyo? You are missing a point.....
Mkuu we bado huoni juhudi za rais Dr Magufuli kuirudisha nchi kwenye mstari?

CHADEMA mlivyo mchukua fisadi mlipoteza maana
 
Mkuu we bado huoni juhudi za rais Dr Magufuli kuirudisha nchi kwenye mstari?

CHADEMA mlivyo mchukua fisadi mlipoteza maana
Lakini Kumbuka bila CHADEMA probably angeteuliwa mbovu zaidi, bila shaka unalijua hilo.
 
Moja ya jambo ambalo linanisikitisha kwa Mh ni hili la kujihami. Amekuwa mtu aliyetengeneza mazingira ya kutokosolewa, akikosolewa tu basi ujue umejitakia matatizo lolote linaweza kukuta.

Ili kudhihirisha hili moja kuonesha hofu hiyo aliagiza Bunge lisioneshwe mubashara kuhofia kuwa wananchi watashuhudia mijadala mbali mbali ya kukosoa utawala wake na kuibua madudu kitu ambacho inaonekana hafurahishwi nacho. Walikuja na kisingizio cha gharama, lakini walipojitokeza wadhamini was vipindi vya Bunge wakaja na sababu ya kupoteza muda badala ya kufanya kazi. Hizi ni sababu dhaifu mno.

Jambo lingine ni kamata kamata ya watu walioonekana kuhoji mambo anuai kwa yeye ama utawala wake, mathalani Godbless Lema na sasa Ben Saanane kapotea na haijulikani kapotelewa wapi na Serikali imekaa kimya. Japokuwa inafahamika kuwa naye alihoji PhD ya Mkuu.

Vyombo vya Habari pia vimetungiwa sheria ambayo inavikandamiza. Hii ikiwa na maana kwamba habari za kuandika ni zile za kusifia Utawala tu.

Je, ni kweli Mungu anaruhusu haya yanayotekea maana tumeambiwa tumuombee kwa Mungu?

Kwanini hataki Kukosolewa na hali ni Binadamu?

NB: Mh Ungewaacha Waongee mwisho wake watatulia wenyewe, wapuuze tu na hawana madhara kwako maaana wewe ndiwe Boss.
Nyie watu wa ufipa msitufanye wa TZ kama wajinga. Huyo ben wenu mnataka sisi tujue kaenda wapi!? Halafu jana mnatoa masaa 72 halafu badae atoke mliko mficha mseme serikali wamemleta.
 
Ni mtu mzuri kwa kuonesha kuchukia matendo maovu hilo sawa, ila hataki kukosolewa wala hilo usipinge. Swala LA Bunge kutooneshwa LIVE tatizo ni nini? Tuanze na hapo kwanza, maana zaidi ya 90% ya Wananchi wanataka kuona Mijadala ya Bunge Live.

Ndio maana na sema tusiwe wasahaulifu, hivi bunge lililopita tumesha sahau mara tu? Kuwa lilikuwa ni kama sehemu ya kupigia kampeni za siasa badala ya kutumika katika kuisimamia serikali. Mimi na kiri ni mmoja wa wale waliongia mkenge kwa ulangai wa wanasisa walio kuwa wanadai ni watetezi wa wananchi.

Mpaka leo bado na baki na shangaa baada ya lile tendo la ndege ambayo ni manyu rubani wake alipo badili gia angani. Mimi binafsi sijutii na wala sito jutia kutooneshwa bunge live. Ndio, katika mazingira haya ambayo tuna wana siasa walio aminiwa na wananchi wa waongoze lakini ni vinyonga and they are not men of principles.

Ni wapongeze walio kuja na huu utaratibu wa kuchuja ubora wa kina chotoka bungeni kabla ya kumfikia mwananchi. So to me bunge kuto oneshwa live wa kulaumiwa ni baadhi ya wabunge kuitumia fursa hiyo ndivyo sivyo.

Na washawasha!
 
Again very stupid fool, kwanza mwenye mada hajasema yeye ni mwanachama wa Chadema na pili hoja yake haizungumzii Mwenyekiti wa CCM kutotaka kukosolewa bali inazungumzia rais wa nchi.
Hivi huoni kwamba kuwa mpumbavu siyo fahari? Nini kisichoeleweka hapo mpaka uingize habari za Mbowe?
Dr Magufuli kawashika pabaya sana! Hamna hoja za maana ufisadi wote kaondoka nao LOWASA! Mmekuja na staili za kujiteka
 
Nyie watu wa ufipa msitufanye wa TZ kama wajinga. Huyo ben wenu mnataka sisi tujue kaenda wapi!? Halafu jana mnatoa masaa 72 halafu badae atoke mliko mficha mseme serikali wamemleta.
Mkuu mimi siyo CHADEMA member nimehoji tu kama Mtanzania. Kumbuka Leo kwa Ben Kesho inaweza ikawa kwa mwingine maana tukikaa kimya Serikali itasahau majukumu yake ikiwa ni pamoja na Kulinda Raia wake na kutambua wako wapi kila inapobidi. Mbona serikali ipo kimya?
 
SASA hivi wewe unaona huko SAWA bila kutoa SULUHISHO LA TATIZO?WEKA MAWAZO HASI SIYO KUTOA LUGHA ZA KIBAGUZI,STP.
 
Bado sijamuelewa mleta hii topic kalenga nini?Maana sisi wengine tuna mkosoa kwa sana na panapo staili kupongeza tufanya hivyo bila shida.

Tatizo la wengine wanateswa na unafiki wao wanangalia yale ya kukosoa yale ya kupongeza wanajidai mataahira hawayaoni.

Lakini mbona waTz tuna kuwa wa sahaulifu!!!. Hivi hamjui Mh JPM ameupata uongozi mkuu wa nchi hii kwa sifa zake za utumishi wa umma ulio kuwa wa heshima na kutukuka? Ni kweli kuwa tumesahau hili?. Walio kuwa wanajitembeza kuusaka urais hamkuwaona? Mmewasahau?

Ange kuwa hashauriki hayo aliyo ya fanya kwenye wizara alizopotia kama Naibu na Waziri mpaka ya kumpa heshima hii wote tunayo ikiri kwa jinsi ya utendaji wake,, Kwa vipi haya ya ngewezekana kama hashauriki?

Wito wangu ni tujitahidi kumsupport Mr President maana wengine hatuna shaka na dhamira yake njema kwa Taifa hili na sisi wananchi kwa ujumla. Mkumbuke pamoja na kwamba yeye ni Rais wetu bado ni mwanadamu si malaika kina chotakiwa kwetu wananchi na hasa wanao msaidia kazi kijiamini na kumpa ushauri wenye nia njema mbao hata unapo jihoji mwenyewe nafsi yako haikusuti kuwa hakika ulikuwa na nia njema ya huo ushauri.

Na washawasha!
Mkuu unaelewa ulichoandika? Uongozi uliotukuka? Acha utani mkuu!
 
Ndio maana na sema tusiwe wasahaulifu hivi bunge lililopita tumesha sahau mara tu, kuwa lilikuwa ni kama sehemu ya kupigia kampeni za siasa badala ya kutumika katika kuisimamia serikali. Mimi na kiri ni mmoja wa wale waliongia mkenge kwa ulangai wa wanasisa walio kuwa wanadai ni watetezi wa wananchi.

Mpaka leo bado na baki na shangaa baada ya lile tendo la ndege ambayo ni manyu rubani wake alipo badili gia angani. Mimi binafsi sijutii na wala sito jutia kutooneshwa bunge live. Ndio, katika mazingira haya ambayo tuna wana siasa walio aminiwa na wananchi wa waongoze lakini ni vinyonga and they are not men of principles.

Ni wapongeze walio kuja na huu utaratibu wa kuchuja ubora wa kina chotoka bungeni kabla ya kumfikia mwananchi. So to me bunge kuto oneshwa live wa kulaumiwa ni baadhi ya wabunge kuitumia fursa hiyo ndivyo sivyo.

Na washawasha!
Hakuna lolote ni kujihami tu kwa Mkulu. Angeacha tuchambue sisi na si kushikiwa akili na yeye.
 
Sifa kuu ya kiongoz ni kujiamini na pia km kiongoz ukikubar kuonyesha udhaifu mbele ya wapinzani ambao awana adabu watafka mbali kikubwa ni kwamba rais anawashaur bhas
 
Back
Top Bottom