Kwanini Harmonize anatumia neno "Sisi ni watoto wa maskini"?

Siku hizi Harmonize anautumia sana huu msemo..

Nimemuona akisema hivi kadhaa hasa anapoitwa kwenye Interviews zake.

Jana baada ya kupita pita mtandaoni nikakutana na video moja YouTube inayohusu ile shoo yake ya CCM Dodoma, kabla hajamtambulisha msanii wake Ibrah akaliweka tena hili neno..

"Kwa kuwa sisi tunatoka kwenye familia za kimaskini na tunasaidiana wenyewe kwa wenyewe..."

Sababu ya kusema hivi ni nini?

Anataka tumuonee huruma au vipi??
Mbona hata Mond uwa analitumia au naye uwa anataka aonewe huruma?
Ogopa sana watu wanaopenda kutumia neno jumuishi maana uwa mara nyingi wanapenda kutumia watu. Mfano ukiwa fundi tajiri anakwambia sikia we fanya kazi kwa bidii ujenge nyumba yetu (wakati yake na familia yake) halafu kuna rafiki zangu wanajenga nitakufanyia mpango ukawajengee, jua unaliwa.
 
Ni ukweli katokea familia ya ki maskini, sasa cha ajabu kipi hapo? Aaaaaaaaah
 
Mbona hata Mond uwa analitumia au naye uwa anataka aonewe huruma?
Ogopa sana watu wanaopenda kutumia neno jumuishi maana uwa mara nyingi wanapenda kutumia watu. Mfano ukiwa fundi tajiri anakwambia sikia we fanya kazi kwa bidii ujenge nyumba yetu (wakati yake na familia yake) halafu kuna rafiki zangu wanajenga nitakufanyia mpango ukawajengee, jua unaliwa.
Umeongea mashudu ya kiwango Cha SGR
 
Nadhani comments za wadau zimekupa reflections watanzania kujibrand kuwa wametokea familiar za kimasikini ni bonge la ufahari, wengine sisi kujieleza tu tumeuishi umasikini tunaona ni aibu make umasikini ni fedheha, umasikini ni laana yaani harufu ya umasikini inakera nitavumilia harufu ya mizoga lkn si harufu ya umasikini kamwe!
 
Mbona keshagasema siku nyingi kuwa mademu walikiwa wanamtosa sana kipindi anavaa kanda2
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom