Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
Eti wataalamu kwanini hatutengenezi spirit/gongo ya ulanzi? Utakuta kuna kila aina ya gongo, Vodka ya viazi. Whisky ya shayiri, tequila ya agave, brandy ya zabibu, rum ya miwa, gin sijui ya mahindi, rubisi sijui ndiyo ya ndizi, nakadhalika, nakadhalika.
Karibu pombe yoyote unaweza kuidistill na kutengeneza gongo. Ambayo ukiistandardize unapata kitu bora kabisa. Nini kinazuia kuwa na gongo safi ya ulanzi?
Kwanini tunakunywa gongo za ajabu kama Kitoko na hali kunapotential ya kupata gongo safi ya kimataifa kutoka kwenye ulanzi?
Karibu pombe yoyote unaweza kuidistill na kutengeneza gongo. Ambayo ukiistandardize unapata kitu bora kabisa. Nini kinazuia kuwa na gongo safi ya ulanzi?
Kwanini tunakunywa gongo za ajabu kama Kitoko na hali kunapotential ya kupata gongo safi ya kimataifa kutoka kwenye ulanzi?