Riziki1981
Member
- Jan 8, 2019
- 8
- 0
Tangu wiki iliyopita taka zipo mtaani alafu magari hamna. Mtendaji hapokei simu, manispaa nawao awajatoa majibu.
Jana nilipita maeneo ya masaki nikasikia wiki ya tatu hadi ya nne uchafu haujachukuliwa, kuna tatizo gani?
Jana nilipita maeneo ya masaki nikasikia wiki ya tatu hadi ya nne uchafu haujachukuliwa, kuna tatizo gani?