Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Halmashauri za Wilaya suala la vyombo vya usafiri ni taabu sana ! Karibu kila Halmashauri ukienda unakuta wana magari mabovu mabovu sana [mikweche]… Mara tairi vipara..mara service hakuna..Mara huko chini zimekongoroka . Ni taabu sana.
Ni kwamba watu hawajui kutunza au ni ukata wa pesa ?
Kila ukienda kwenye Halmashauri kuna magari mabovu mabovu sana !
Unakuta na madereva nao wamechoka sana kuanzia nyuso zao mpaka mavazi yao!
Ni kwamba watu hawajui kutunza au ni ukata wa pesa ?
Kila ukienda kwenye Halmashauri kuna magari mabovu mabovu sana !
Unakuta na madereva nao wamechoka sana kuanzia nyuso zao mpaka mavazi yao!