Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
TRANSFER OF OWNERSHIP
Kuna haja ya kuwa na TRANSFER OF OWNERSHIP ya Mobile phone.
Transfer of Ownership ya gari inafanyika baada ya Mamlaka ya Mapato kumpigia SIMU mmiliki wa awali na kumuuliza km anatambua mabadiliko ya Umiliki wa gari husika na lengo ni kujirdhisha!
Kwa nini Makampuni ya Simu hayajiridhishi juu ya mabadiliko ya umiliki wa simu pale inapotokea simu ilokuwa inatumiwa na Mtu X siku zote mpk Ijumaa jioni, ghafla Jumamosi Asubuhi au Mchana inatumiwa na mtu Z na huku yule Mmiliki wa awali Mtu X anaonekana ktk simu ameRENEW sim card!
Kuna wakati Makampuni ya simu yanaona wazi kuwa Mmiliki wa Simu A alikuwa anatumia simu kwa miaka akiwa SINZA lkn overnight simu ile inapewa sim cards mpya tena inaanza kusomeka ipo Tanga au Moro na sio Sinza, Dsm.
Kuna watu wanamiliki simu ghaĺi kiasi zina thamani sawa ama zaidi ya gari. Iweje magari yana TRANSFER of OWNERSHIP lkn sio simu?
Inawezekana simu ya Maxence Melo ikawa ya bei ndogo mf 180k lkn unyeti wa simu yake ktk saa za kazi unaifanya simu yake kufika mpk 10m hususani ukihusisha athari endapo simu yake ikapotea ama kuibiwa. Je hakuna haja ya TRANSFER OF OWNERSHIP kwa simu?
Mtu kama Mkuu Mshana jr upo uwezekano simu yake ina maFILE kama yote ya Kanuni mbali mbali za Ulimwengu wa giza ambazo disclose yake ni kosa kubwa sana na pengine kwa usiri wa info hizo ni chanzo cha mapato!
Sasa mtu km Mshana jr anapotezaje simu yake afu kampuni ya simu inaruhusu TRANSFER of OWNERSHIP pasi na kumshikirisha! Hapa pana shida!
Transfer of OWNERSHIP ya simu inaweza ikapunguza matukio ya wizi wa simu!
Tufikirie!
Kuna haja ya kuwa na TRANSFER OF OWNERSHIP ya Mobile phone.
Transfer of Ownership ya gari inafanyika baada ya Mamlaka ya Mapato kumpigia SIMU mmiliki wa awali na kumuuliza km anatambua mabadiliko ya Umiliki wa gari husika na lengo ni kujirdhisha!
Kwa nini Makampuni ya Simu hayajiridhishi juu ya mabadiliko ya umiliki wa simu pale inapotokea simu ilokuwa inatumiwa na Mtu X siku zote mpk Ijumaa jioni, ghafla Jumamosi Asubuhi au Mchana inatumiwa na mtu Z na huku yule Mmiliki wa awali Mtu X anaonekana ktk simu ameRENEW sim card!
Kuna wakati Makampuni ya simu yanaona wazi kuwa Mmiliki wa Simu A alikuwa anatumia simu kwa miaka akiwa SINZA lkn overnight simu ile inapewa sim cards mpya tena inaanza kusomeka ipo Tanga au Moro na sio Sinza, Dsm.
Kuna watu wanamiliki simu ghaĺi kiasi zina thamani sawa ama zaidi ya gari. Iweje magari yana TRANSFER of OWNERSHIP lkn sio simu?
Inawezekana simu ya Maxence Melo ikawa ya bei ndogo mf 180k lkn unyeti wa simu yake ktk saa za kazi unaifanya simu yake kufika mpk 10m hususani ukihusisha athari endapo simu yake ikapotea ama kuibiwa. Je hakuna haja ya TRANSFER OF OWNERSHIP kwa simu?
Mtu kama Mkuu Mshana jr upo uwezekano simu yake ina maFILE kama yote ya Kanuni mbali mbali za Ulimwengu wa giza ambazo disclose yake ni kosa kubwa sana na pengine kwa usiri wa info hizo ni chanzo cha mapato!
Sasa mtu km Mshana jr anapotezaje simu yake afu kampuni ya simu inaruhusu TRANSFER of OWNERSHIP pasi na kumshikirisha! Hapa pana shida!
Transfer of OWNERSHIP ya simu inaweza ikapunguza matukio ya wizi wa simu!
Tufikirie!