Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Kwangu mimi Tanroad ndio taasisi ambayo haitoi taarifa zake kwa usahihi.
Mfano.. ukitaka kujua miradi inayo endelea au iliuo isha kwa sasa hakuna sehemu utapata taarifa hiyo.
Website yao ina data za 2002 huko.
Tanroad ndio taasisi ambayo inakula pesa nyingi za wananchi lakini hakuna uwazi kama taasisi nyingine.
Nadhani taasisi nzima ni civil engineers wao ni kazi tuu hata kama wanakosea.
Mfano.. ukitaka kujua miradi inayo endelea au iliuo isha kwa sasa hakuna sehemu utapata taarifa hiyo.
Website yao ina data za 2002 huko.
Tanroad ndio taasisi ambayo inakula pesa nyingi za wananchi lakini hakuna uwazi kama taasisi nyingine.
Nadhani taasisi nzima ni civil engineers wao ni kazi tuu hata kama wanakosea.