Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Habari wanaJF,
Kwasisi wafanyabiashara tumewahi kukumbana na kitu kinaitwa CHUMA ULETE, nimebahatika kuwa na kijiofisi cha M-Pesa mitaa ya Mbagala hapa basi huyu Mwanadada niliyemuweka hapo aliniambia kiasi cha 450K zimepotea na yeye hajui imekuaje lakini mteja wa mwisho alikuwa ni Mama wa makamo aliyekuja kuomba chenji. Iliniwia vigumu kumuamini.
Sasa jana nimekutana na mtu analalamika kuwa ameibiwa fedha kwa miujiza akiwa katika duka lake na yeye akasema ni CHUMA ULETE.
Najiuliza kwanini hakuna malalamiko kwenye taasisi za kifedha kuwa wanafanyiwa uchawi huu?
Nini siri iliyonyuma na taasisi hizi?
CC: mshana jr, Mtu mzito, jichawi, Zurie
Kwasisi wafanyabiashara tumewahi kukumbana na kitu kinaitwa CHUMA ULETE, nimebahatika kuwa na kijiofisi cha M-Pesa mitaa ya Mbagala hapa basi huyu Mwanadada niliyemuweka hapo aliniambia kiasi cha 450K zimepotea na yeye hajui imekuaje lakini mteja wa mwisho alikuwa ni Mama wa makamo aliyekuja kuomba chenji. Iliniwia vigumu kumuamini.
Sasa jana nimekutana na mtu analalamika kuwa ameibiwa fedha kwa miujiza akiwa katika duka lake na yeye akasema ni CHUMA ULETE.
Najiuliza kwanini hakuna malalamiko kwenye taasisi za kifedha kuwa wanafanyiwa uchawi huu?
Nini siri iliyonyuma na taasisi hizi?
CC: mshana jr, Mtu mzito, jichawi, Zurie