mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,207
- 1,755
Nimekuwa nikisikia watu wanasema kuwa wanyama wanaitambua harufu ya mwanadamu, kwa kuwa nilishindwa kujigeuza kuwa kama mnyama, imekuwa ngumu kuielewa hii hadithi, naitaji ufafanuzi kama kuna tafiti ziliofanyika kulitambua hili nizifahamu, lakini pia kama ni kweli kwanini wana uwezo huo na kwanini mwanadamu hawezi tambua harufu ya wanyama wengine.
Mfano kufahamu kuwa kuna simba hapa kichakani au mtaani, ni mpaka nimwone au nisikie sauti yake, ila sijui harufu yake inanukiaje.
Mfano kufahamu kuwa kuna simba hapa kichakani au mtaani, ni mpaka nimwone au nisikie sauti yake, ila sijui harufu yake inanukiaje.