jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,801
- 7,578
Well done 👏 ✔ 👍Nike wana mkataba wa kutengeneza jezi na barcelona lakini lionel messi ana mkataba binafsi na adidas kama nitakuwa sahihi.
Well done 👏 ✔ 👍Nike wana mkataba wa kutengeneza jezi na barcelona lakini lionel messi ana mkataba binafsi na adidas kama nitakuwa sahihi.
Hujui kama hizo ni deal?Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
Kwani Haji ana mkataba na Mo au na Simba?
Kwani Manara ameajiliwa kwenye uzalishahi wa hayo maji..!!?Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
ninadhani ulitaka kusema watu waungwana, kwakuwa werevu hata Haji anao ndo maana amefaulu kufanya afanyacho.Manara mhuni tu, Simba ifike mahala tuweke watu waelevu wasiyo na uswahili kuzidi, najua Manara kapata dili nyingi Sana kwa mgongo wa Simba SC, akiwekwa kando baada ya mwaka tu wanamkacha!
"I will promise you"Si alipewa mkataba wa milioni 4....akang'ang'ania hiyo hiyo "seven hundred" ili ale vinono vya GSM, msaliti ni msaliti tu...kakutana na Barbra mtoto wa mjini aliyeenda shule...kaanza kulia lia kwenye voice note🐒🤣
View attachment 1866206
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Barbara ni mtoto wa mjini aliyeenda shule...Manara na mikwara yote kaishia kujirekodi mwenye simu analia ili wamuonee huruma😂
Uko sahihi kabisaNike wana mkataba wa kutengeneza jezi na barcelona lakini lionel messi ana mkataba binafsi na adidas kama nitakuwa sahihi.
Upo tayari kuusariti mkataba wako mnono kwa kumfurahisha bwanyenye anae kuwekea kigingi kuendelea kusaka tonge?Alipewa mkataba akaukataa rejea clip ya Hans pop
MO SIYO BOSI WA MANARAKuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
Akihujumu kipato cha boss ni sawa na kuihujumu timu na bado alipwe 700,000/= na boss huyo huyo. What the https://jamii.app/JFUserGuide!!!!!Kuna sehemu yoyote simba wamemlaumu haji kwa kutangaza hizo bidhaa? Simba wanamtuhumu haji kuihujumu timu
Kama hivi?Aongezewe mshahara basi ili aache kuganga njaa! Laki 7 kwa maisha ya Dar haitoshi! Ni lazima ajiongeze. Kinyume na hapo, itamlazimu kurejea kwenye ile kazi yake ya awali ya wizi na utapeli.
Una maanisha nini? Kama timu unayoifanyia kazi bosi wake ni mo kipi wewe mo asiwe boss wako. Kama A=B na B=C kwanini A isiwe sawa sawa na C pia?MO SIYO BOSI WA MANARA
Haji hana mkataba .Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"
Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.
Hii imekaaje kikanuni?
Haji sio mfanyakazi wa MO ,Manara ilitakiwa akae upande mmoja.
Wa MO au Azam au GSM
Hawa ni Matajiri na wanahitaji wateja wa bidhaa zao.
Tena wanahitaji wateja kwa bidhaa zinazofanana.
Yaani huwezi kuwa Afisa Masoko wa
Cocacola na Pepsi wakati mmoja huku wote wanafahamu.
Manara angetangaza bidhaa nyingine ambazo haziingiliani na zile za Tajiri wake ungebaki salama.
Angechagua ama abaki na MO, au Azam, au GSM.
Kitendo cha kwenda huku na huku kinaondoa imani kwa Tajiri husika.
Hata mimi singekubali.
MO kamvumilia sana Manala kwa sababu ya Busara zake binafsi.
Kama hukubaliani na mshahara acha kazi au tafuta haki yako kwenye vyombo vya kudai haki upewe haki yako, sio vinginevyo. Haji kakosea sana. Huko kunaitwa kujichukulia sheria mkononi.Upo tayari kuusariti mkataba wako mnono kwa kumfurahisha bwanyenye anae kuwekea kigingi kuendelea kusaka tonge?