Kwanini Haji Manara anatangaza maji ya Uhai ya Azam badala ya maji ya Masafi ya Mo?

Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"

Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.

Hii imekaaje kikanuni?
Hujui kama hizo ni deal?
Hujui kama watu wanaingia mikataba?
Sababu za kutoingia mkataba zinaweza kuwa mbalimbali ikiwemo maslahi.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"

Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.

Hii imekaaje kikanuni?
Kwani Manara ameajiliwa kwenye uzalishahi wa hayo maji..!!?
 
Manara mhuni tu, Simba ifike mahala tuweke watu waelevu wasiyo na uswahili kuzidi, najua Manara kapata dili nyingi Sana kwa mgongo wa Simba SC, akiwekwa kando baada ya mwaka tu wanamkacha!
ninadhani ulitaka kusema watu waungwana, kwakuwa werevu hata Haji anao ndo maana amefaulu kufanya afanyacho.
 
Si alipewa mkataba wa milioni 4....akang'ang'ania hiyo hiyo "seven hundred" ili ale vinono vya GSM, msaliti ni msaliti tu...kakutana na Barbra mtoto wa mjini aliyeenda shule...kaanza kulia lia kwenye voice note🐒🤣
2855686_IMG_20210724_153342.jpg


View attachment 1866206
"I will promise you"
 
Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"

Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.

Hii imekaaje kikanuni?
MO SIYO BOSI WA MANARA
 
Kuna sehemu yoyote simba wamemlaumu haji kwa kutangaza hizo bidhaa? Simba wanamtuhumu haji kuihujumu timu
Akihujumu kipato cha boss ni sawa na kuihujumu timu na bado alipwe 700,000/= na boss huyo huyo. What the https://jamii.app/JFUserGuide!!!!!
 
Manara ilitakiwa akae upande mmoja.
Wa MO au Azam au GSM

Hawa ni Matajiri na wanahitaji wateja wa bidhaa zao.
Tena wanahitaji wateja kwa bidhaa zinazofanana.
Yaani huwezi kuwa Afisa Masoko wa
Cocacola na Pepsi wakati mmoja huku wote wanafahamu.

Manara angetangaza bidhaa nyingine ambazo haziingiliani na zile za Tajiri wake ungebaki salama.

Angechagua ama abaki na MO, au Azam, au GSM.
Kitendo cha kwenda huku na huku kinaondoa imani kwa Tajiri husika.

Hata mimi singekubali.
MO kamvumilia sana Manala kwa sababu ya Busara zake binafsi.
 
MO SIYO BOSI WA MANARA
Una maanisha nini? Kama timu unayoifanyia kazi bosi wake ni mo kipi wewe mo asiwe boss wako. Kama A=B na B=C kwanini A isiwe sawa sawa na C pia?

Asikudanganye mtu mashabiki wa Simba wanakuja uwanjani kwakuwa Simba inashinda mechi zake. Timu inashinda kwakuwa Ina wachezaji wazuri na wachezaji wazuri nacheza vizuri kwakuwa wamelipwa na anaewalipa ni mo, na mo anapata pesa za kuwalipa wachezaji wazuri kutokana na kuuza maji ya masafi, na Haji anauza maji ya Uhai ya Azam sokoni ili mo asipate hela za kuwalipa vizuri wachezaji. Kwa hili Haji ni msaliti wa Simba bila kupepesa macho Wala kupindisha maneno.

Haji alitakiwa kudai mshahara na mkataba kwa Simba hata kupitia vyombo vya Sheria lakini sio kufanyakazi za mshindani wa mo. Kumfukuza Haji Simba ni halali kabisaa.
 
Kuna kitu kinaitwa "conflict of interest"

Je, inaswihi kwa Haji ambae Boss wake Mo ana biashara ya Maji na wakati huohuo Haji kwenda kutangaza biashara ya Maji kwa Azam? Mo ana maji ya masafi na Azam ana maji ya Uhai. Mo ana timu ya Simba na Azam ana timu ya Azam.

Hii imekaaje kikanuni?
Haji hana mkataba .
Kuwa mfanyakazi sio kuwa Mfanyakazi wa MO na DEMU WAKE
 
Manara ilitakiwa akae upande mmoja.
Wa MO au Azam au GSM

Hawa ni Matajiri na wanahitaji wateja wa bidhaa zao.
Tena wanahitaji wateja kwa bidhaa zinazofanana.
Yaani huwezi kuwa Afisa Masoko wa
Cocacola na Pepsi wakati mmoja huku wote wanafahamu.

Manara angetangaza bidhaa nyingine ambazo haziingiliani na zile za Tajiri wake ungebaki salama.

Angechagua ama abaki na MO, au Azam, au GSM.
Kitendo cha kwenda huku na huku kinaondoa imani kwa Tajiri husika.

Hata mimi singekubali.
MO kamvumilia sana Manala kwa sababu ya Busara zake binafsi.
Haji sio mfanyakazi wa MO ,
 
Upo tayari kuusariti mkataba wako mnono kwa kumfurahisha bwanyenye anae kuwekea kigingi kuendelea kusaka tonge?
Kama hukubaliani na mshahara acha kazi au tafuta haki yako kwenye vyombo vya kudai haki upewe haki yako, sio vinginevyo. Haji kakosea sana. Huko kunaitwa kujichukulia sheria mkononi.
 
Back
Top Bottom