busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,575
Kuna jambo naliona Yanga sio zuri kwa mustakabal wa timu ya Yanga.
Kwenye mambo mengi gsm wamekua hawawapi nafasi viongozi wa Yanga akiwemo Dr.Msola,Mwakalebela na viongozi wengine wa Yanga.
Pamoja na viongozi hao wa Yanga Dr.Msola na wengine kuunda kamati ya mashindano siku za hivi karibuni inayojumuisha watu wenye pesa na uwezo wa kukabiliana na figisu hujuma dhidi ya Yanga wakiwemo Abdallah Bin Kleb,Seif Magari na Davis Mosha lakini bado naona gsm anakaba mpaka penati.
Kumbuka gsm ni mdhamini tu,Yanga kama club inauongozi wa kikatiba wa club.
Nawasilisha.
View attachment 1950903
Kwenye mambo mengi gsm wamekua hawawapi nafasi viongozi wa Yanga akiwemo Dr.Msola,Mwakalebela na viongozi wengine wa Yanga.
Pamoja na viongozi hao wa Yanga Dr.Msola na wengine kuunda kamati ya mashindano siku za hivi karibuni inayojumuisha watu wenye pesa na uwezo wa kukabiliana na figisu hujuma dhidi ya Yanga wakiwemo Abdallah Bin Kleb,Seif Magari na Davis Mosha lakini bado naona gsm anakaba mpaka penati.
Kumbuka gsm ni mdhamini tu,Yanga kama club inauongozi wa kikatiba wa club.
Nawasilisha.
View attachment 1950903