LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Lakini Google si watu wazuriNdo shida ya kukosa kazi ya kufanya
Endelea kujipa moyo, Wakati masikini tz anajimudu na anakula vizuri na anaishi vizuri tofauti na huko kwenu masikini ni masikini kweli kweli hadi hurumaLakini Google si watu wazuri
Tatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic indexing" ni nini. Kiufupi ni teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant search engine result pages (SERP ).Lakini Google si watu wazuri
Asante kwa ufafanuzi mkuuTatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic analysis", teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant SERP (search engine result pages) ni nini.
"Neural network analysis" ambayo imekuwa ni core architecture ya google algorithms kwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni tofauti na ile ya zamani iliyoitwa "Pagerank" au "link analysis" imekuwa ina favors results kutokana na kitu kinaitwa "social response" na geo targeting.
Social response based algorithms zinaangalia zaidi "user generated contents" sites kama Facebook, Youtube, Instagram n.k kuona nani anaongea nini kuhusu kitu fulani na yuko wapi.
Kwa lugha rahisi google hutoa SERP kutokana na mahali ulipo, sasa wewe umeona hiyo 67.9% poverty rate ukakurupuka na kuja kuanzisha mada. Usichokijua ni kuwa google amekupa hiyo SERP kwa kuwa inajua, baada ya kufanya "Neural network analysis", kuwa wakenya wanafurahia kuisema vibaya Tanzania na results hizi zitakuwa more favorable. Kwa ushamba wako ukadhani kila mtu duniani aki google "tanzania poverty rate" atapata resaults kama zako.
Keyword hiyo hiyo, niki search hapa Marekani napata results tofauti kabisa kwa kuwa google inajua watu wa hapa hawana shida na Tanzania na results za google zinakuwa sahihi zaidi.
Utaona kwenye reults hapo chini inaonesha umasikini ni 49.1% kwa mwaka 2011 kutoka 55.1% mwaka 2007 ikimaanisha kuwa kwa mwaka huu 2019 itakuwa imeshuka sana.
View attachment 1098107
Hakika!hahahaaaa...kwhyo ukiwa marekani ukim search rais wa north korea itatoa data tofauti kuliko yule jamaa aliye i search akiwa kenya..
vilaza tu ndo ambao hawatakuelewaTatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic indexing", teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant SERP (search engine result pages) ni nini.
"Neural network analysis" ambayo imekuwa ni core architecture ya google algorithms kwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni tofauti na ile ya zamani iliyoitwa "Pagerank" au "link analysis" imekuwa ina favors results kutokana na kitu kinaitwa "social response" na geo targeting.
Social response based algorithms zinaangalia zaidi "user generated contents sites" kama Facebook, JF, Youtube, Instagram n.k kuona nani yuko wapi na anaongea nini.
Kwa lugha rahisi google hutoa SERP kutokana na mahali ulipo, sasa wewe umeona hiyo 67.9% poverty rate ukakurupuka na kuja kuanzisha mada. Usichokijua ni kuwa google amekupa hiyo SERP kwa kuwa imebaini, baada ya kufanya "Neural network analysis", kuwa wakenya wanafurahia kuisema vibaya Tanzania na results hizi zitakuwa more favorable. Kwa ushamba wako ukadhani kila mtu duniani aki google "tanzania poverty rate" atapata results kama zako.
Keyword hiyo hiyo, niki search hapa Marekani napata results tofauti kabisa kwa kuwa google inajua watu wa hapa hawana shida na Tanzania na results za google zinakuwa unbiased.
Utaona kwenye results hapo chini inaonesha umasikini ni 49.1% kwa mwaka 2011 kutoka 55.1% mwaka 2007 kwa trend hiyo inamaanisha kwa mwaka huu, 2019 umasikini utakuwa umepungua zaidi.
View attachment 1098107
Umeshawahi kuweka 4k video kwenye itel ya gb 1,storage???, ndio hiki umefanyia wakenya leo.Tatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic indexing" ni nini, teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant SERP (search engine result pages).
"Neural network analysis" ambayo imekuwa ni core architecture ya google algorithms kwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni tofauti na ile ya zamani iliyoitwa "Pagerank" au "link analysis" imekuwa ina favors results kutokana na kitu kinaitwa "social response" na geo targeting (geographic position).
Social response based algorithms zinaangalia zaidi "user generated contents sites" kama Facebook, JF, Youtube, Instagram n.k kuona nani yuko wapi na anaongea nini.
Kwa lugha rahisi google hutoa SERP kutokana na mahali ulipo, sasa wewe umeona hiyo 67.9% poverty rate ukakurupuka na kuja kuanzisha mada. Usichokijua ni kuwa google imekupa hiyo SERP kwa kuwa imebaini (baada ya kufanya Neural network analysis) kuwa wakenya wanafurahia kuisema vibaya Tanzania na results hizi zitakuwa more favorable kwa mtu aliye Kenya. Kwa ushamba wako ukadhani kila mtu duniani aki google "tanzania poverty rate" atapata results kama zako.
Keyword hiyo hiyo, niki search hapa Marekani napata results tofauti kabisa kwa kuwa google inajua watu wa hapa hawana shida na Tanzania na results za google zinakuwa unbiased.
Utaona kwenye results zangu hapo chini inaonesha tofauti na yako, umasikini ukiwa 49.1% kwa mwaka 2011 kutoka 55.1% mwaka 2007 kwa trend hiyo inamaanisha kwa mwaka huu, 2019 umasikini utakuwa umepungua zaidi kama page ya worldbank inavyothibitisha hapo chini.
View attachment 1098107
I never know you people don't know these things, am shocked, the searching results are different geographically and other sorts of cyber technicalities ni kama trending feeds kwenye social media, do you think YouTube Trending videos of Kenya are exactly the same as Tanzania?hahahaaaa...kwhyo ukiwa marekani ukim search rais wa north korea itatoa data tofauti kuliko yule jamaa aliye i search akiwa kenya....kwel elimu ya tanzania ni majanga
😂😂😂 hii inaitwa technical knockout(TKO) wewe hakika hauendi mbinguni😂😂😂Tatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic indexing" ni nini, teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant SERP (search engine result pages).
"Neural network analysis" ambayo imekuwa ni core architecture ya google algorithms kwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni tofauti na ile ya zamani iliyoitwa "Pagerank" au "link analysis" imekuwa ina favors results kutokana na kitu kinaitwa "social response" na geo targeting (geographic position).
Social response based algorithms zinaangalia zaidi "user generated contents sites" kama Facebook, JF, Youtube, Instagram n.k kuona nani yuko wapi na anaongea nini.
Kwa lugha rahisi google hutoa SERP kutokana na mahali ulipo, sasa wewe umeona hiyo 67.9% poverty rate ukakurupuka na kuja kuanzisha mada. Usichokijua ni kuwa google imekupa hiyo SERP kwa kuwa imebaini (baada ya kufanya Neural network analysis) kuwa wakenya wanafurahia kuisema vibaya Tanzania na results hizi zitakuwa more favorable kwa mtu aliye Kenya. Kwa ushamba wako ukadhani kila mtu duniani aki google "tanzania poverty rate" atapata results kama zako.
Keyword hiyo hiyo, niki search hapa Marekani napata results tofauti kabisa kwa kuwa google inajua watu wa hapa hawana shida na Tanzania na results za google zinakuwa unbiased.
Utaona kwenye results zangu hapo chini inaonesha tofauti na yako, umasikini ukiwa 49.1% kwa mwaka 2011 kutoka 55.1% mwaka 2007 kwa trend hiyo inamaanisha kwa mwaka huu, 2019 umasikini utakuwa umepungua zaidi kama page ya worldbank inavyothibitisha hapo chini.
View attachment 1098107
Lakini Google si watu wazuri
Umeshawahi kuweka 4k video kwenye itel ya gb 1,storage???, ndio hiki umefanyia wakenya leo.
Hayashiki kitu.
Huu ni uonevu!! Umemfanya jamaa aonekane bado yupo chekechea (vidudu)Tatizo lako ni uwezo mdogo wa kufikiri au kutokujua google inavyofanya kazi. Ni dhahiri huelewi hata "latent semantic indexing" ni nini. Kiufupi ni teknolojia inayotumiwa na google algorithms kutoa relevant search engine result pages (SERP ).
"Neural network analysis" ambayo imekuwa ni core architecture ya google algorithms kwa miaka ya hivi karibuni ikiwa ni tofauti na ile ya zamani iliyoitwa "Pagerank" au "link analysis" imekuwa ina favors results kutokana na kitu kinaitwa "social response" na geo targeting (geographic position).
Social response based algorithms zinaangalia zaidi "user generated contents sites" kama Facebook, JF, Youtube, Instagram n.k kuona nani yuko wapi na anaongea nini.
Kwa lugha rahisi google hutoa SERP kutokana na mahali ulipo, sasa wewe umeona hiyo 67.9% poverty rate ukakurupuka na kuja kuanzisha mada. Usichokijua ni kuwa google imekupa hiyo SERP kwa kuwa imebaini (baada ya kufanya Neural network analysis) kuwa wakenya wanafurahia kuisema vibaya Tanzania na results hizi zitakuwa more favorable kwa mtu aliye Kenya. Kwa ushamba wako ukadhani kila mtu duniani aki google "tanzania poverty rate" atapata results kama zako.
Keyword hiyo hiyo, niki search hapa Marekani napata results tofauti kabisa kwa kuwa google inajua watu wa hapa hawana shida na Tanzania na results za google zinakuwa unbiased.
Utaona kwenye results zangu hapo chini inaonesha tofauti na yako, umasikini ukiwa 49.1% kwa mwaka 2011 kutoka 55.1% mwaka 2007 kwa trend hiyo inamaanisha kwa mwaka huu, 2019 umasikini utakuwa umepungua zaidi kama page ya worldbank inavyothibitisha hapo chini.
View attachment 1098107