GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,455
- 108,580
Jamaa hadi mods nahisi wanamuogopa
Si kweli na kama kweli hao Moderators wangekuwa ' wananiogopa ' basi wasingenipa ' BAN ' ya Wiki mbili ( Siku 14 ) ambayo imeisha rasmi jana. Acha Kuwasingizia Moderators wa JamiiForums mambo ambayo hawayafanyi na labda kwa kukusaidia tu sasan hakuna ' Member ' ambaye huwa ' ananyooshwa ' vilivyo kwa ' BAN ' hapa Jamvini kama Mimi GENTAMYCINE na uzuri ni kwamba ' BAN ' zao zote Kwangu huwa nazistahili Kuzipata kwakuwa kuna muda mwingine huwa ' nakangeuka / nakosea ' hivyo nami huwa nakuwa Mpole kusubiri hadi adhabu yangu imalizike na nawashukuru mno hao hao ' Moderators ' kwa kuniweka katika mstari Kimaadili na Kinidhamu pale nikiwa naenda Kinyume na taratibu za hili Jukwaa pendwa.