Kwanini gentamycin namuogopa kumjibu vibaya?

Mwanaume hana muda wa kuchambana na mwanaume mwenzie, tunagonga like kwenye like tunatia point tunajadili critically, MEN THINKS..WOMEN TALKS, choose your side carefully then mtafute gentamynini sijui mkachambane
Haha mkuu agiza safari ndogo nakuja kulipa
 
Huyu jamaa GENTAMYCINE ni Muha wa Kigoma ametokea maeneo ya Kakonko alikuwa anaishi kwenye kambi za wakimbizi sijui dar alifikaje huyu jamaa...

CV yake kwa ufupi ni MNAFIKI kiwango cha juu kabisa kuwahi kurekodiwa..

Wenye more Info watakuja kujazia nyama kuhusu huyu jamaa
Aissee "" hahaha "" genta amelelewa "" ikulu wewe ""!!!! !?? ....
 
Huu uzi utajaa matusi sasa hivi maana moderator siku hizi wanaacha watu wanatukana..ni upuuzi kutukana kila mtu.. Maxence Melo kwanini mnaacha watu wanajinasibu wanajua kutukana na wanatukana watu hovyo tunaelelekea wapi..? Na moderator wanaacha wanatukana
 
Coz anaweza kuwasererekea hadi wakakimbia kompyuta zao
haha hahaha ....ila sio poa aiseee ifike mahali tuwe tuna vumiliana"" sidhani "" kama genta " amekuwa kikwazo "" cha watu Humu ndani "" sio fresh aiseee... kila siku genta anasemwa "" Humu " inaumiza mnoooo"" kumsema sema bila sababu zenye tija "" ifike mahala tuwe na roho zenye utu

GENTAMYCINE "" pole sana mkuu""
 
GENTAMYCINE

Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!


Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Mkuu naona umekuja na id nyingine
By the way unajitahidi kuji brand kuanzia huku mpaka JamiiForums.com
 
Huu uzi utajaa matusi sasa hivi maana moderator siku hizi wanaacha watu wanatukana..ni upuuzi kutukana kila mtu.. Maxence Melo kwanini mnaacha watu wanajinasibu wanajua kutukana na wanatukana watu hovyo tunaelelekea wapi..? Na moderator wanaacha wanatukana
Mkuu hao moderators wenyewe hawatuwezi!! Nasikia kitufe cha ban kilipotea......
 
GENTAMYCINE

Huyu jamaa huwa anaserereka na kutiririka vidonge/vichambo vilivyo tukuka kwa ufundi na ustadi wa hali ya juu kama ‘MOSSAD’ hali inayofanya kuwa salama dhidi ya ban!!


Haya na nyinyi mserereke na kutiririka kwa nini humjawahi mchokoza??
Dah ID yako nyingine hii wewe jamaa aisee
 
Back
Top Bottom