Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

Afu cjui kwa nini huwa wana ndoto ya kuishi french tu.kila raiya ana dream ya kwenda Ufaransa
Assimilation policy ndio jibu nililopewa mwaka 2013 wakati naanzisha huu uzi, ni kwamba hata Comoro kuna kisiwa kimeshakuwa assimilated na ufaransa, na wanatumia euro na kuongea kifaransa, kiufupi wanajiona wafaransa, basi kila mtu anataka aende huko hata kucheza soka tu.
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking

1. Gambia
2. Somalia
3. South Sudan
4. Nigeria (iro Boko Haram)
Nchi zote hizo ni Francophone?
 
Na Wengi ni waislamu,Wanasema Alah kawaambia watawale Makafiri lakini kawanyima elm duniya.

Angalia boko Haram(Waislam) wanaua,wanabaka mama mbele ya mtoto huku wakisema mungu mkubwa,wanatia vitoto vya miaka tisa na kuvipa mimba,alafu wanapinga kila kitu cha magharibi ila wanatumia nguo,silaha,simu ,kondomu ,ARV za magharibi!
 
Sierra Leone raia wake hawaongei hata neno moja la kifaransa. Wao ni English tu. Harafu baada ya vita yao late 1990s watakuwa walijifunza kitu kwa sababu peace imetamalaki since then. Rwanda nao wameishaipiga chini French language. Hawataki hata kuisikia tena
 
Iv
Kuna haja ya kuwa na Commonweath & Franceophone naona kama utumwa na kudhalilishwa
Hizo jumuiya zilianzishwa kama njia za kufungua mwanzo mpya wa uhusiano kati ya wakoloni na makoloni yao ya zamani ikiwa ni pamoja na ushirikiano kwenye nyanja kama elimu, biashara, tafiti japo pia zinaonekana kama muendelezo wa Ukoloni kwa njia mpya kwani baadhi ya makoloni ya zamani (Sasa nchi huru) bado ni tegemezi kwa watawala wao wa zamani.
 
Back
Top Bottom