Kwanini French speaking African nations ndio zina vita tu?

​Watanzania ni wagumu sana kuelewa hivi hii ni nini??mtoa mada kasema french -speaking watu mnageuza kuwa french colony !!!halafu mkifeli interviews mnasema wakenya wanapendelewa kwa vile wanaongea kiingereza vizuri..wakati hii mada ni ya kiswahili lakini tayari watu weshanoa duuh kazi kweli kweli.

well.., i guess its a honest misunderstanding.
 
French-speaking countries sio french-colonies wadau.. Burundi, Rwanda speak french despite being ruled by the Belgium

Kwa swali lako jibu ni moja tu hizo nchi nyingi hapo masheikh ni wengi ndio maana vita haziishi huko. Unajua hawa watu hata wakiwa wao pekee nchi nzima kama Somalia bado hawaelewanu

hope this sheds light qn-shebba
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking

SIERA LEONE siyo French speaking Country ni English Speakers mkuu karudie kupitia desa lako tena. Halafu vipi kuhusu UGANDA after independence was it peaceful? Sasa hivi vipi na Lord resistance ya Joseph Kony?

Vipi kuhusu Gambia nao ni French speakers?

Ingawa ni kweli kuwa Francophones ndiyo zinaongoza kwa machafuko lakini hata wengine wamo pia
 
Inategemea na karne... ukiweka kimahesabu zaidi utakuta zilizotawaliwa na Mwingereza ndizo zinaongoza kwa kupigana...au karibu zote zimeshapigana ikiwemo Marekani mbabe wa vita
Tuongelee hizi za kiafrika. Kuna ukweli kiasi kikubwa kuwa effects za assimilation policy zinayatafuna mataifa haya ya Africa.
Halafu hawa jamaa (France ) hufurahia hali hii.
Mfano mzuri ni wakati wa genocide kule Rwanda walikuwa wanacheza basketball wakati wanyarwanda wanauana.
 
1.) D.R.C CONGO - Has seen decades of violence especially in the north-east - French speaking
2.) C.A.R (Central African republic) - Has recently undergone a cope de tat - French speaking
3.) MALI - Recently was taken over by rebels in the Northen part, french troops intervened - French speaking
4.) SIERRA LEONE - has seen conflicts relating to diamond resources- French speaking
5.) IVORY COAST - Recently went through civil war involving laurant Bagbo - French speaking
6.) RWANDA - Has seen its share of violence, allegedly funds M23,gone through genocide - French speaking
7.) BURUNDI - Has seen its share of violence - French speaking
8.) CONGO BRAZAVILLE - Has seen its share of violence - French speaking

Take a look at the non-french speakers.. (After independence)

1.) TANZANIA - Peaceful - Swahili speaking
2.) KENYA - Peaceful - English/Swahili speaking
3.) SOUTH AFRICA - Peaceful -English speaking
4.) NAMIBIA - peaceful - English speaking
5.) ZAMBIA - Peaceful - English speaking
6.) MALAWI - Peaceful - English speaking
7.) MOZAMBIQUE - Peaceful - portuguese speaking
8.) BOTSWANA - peaceful -English speaking
Mi nnavyoona ni kuwa wanaopigana wanajitambua na kudai haki zao, sasa hao ambao hawapigani na kuzidi kukandamizwa inasaidia nn. .
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom