FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 35,847
- 40,435
- Thread starter
- #21
​Watanzania ni wagumu sana kuelewa hivi hii ni nini??mtoa mada kasema french -speaking watu mnageuza kuwa french colony !!!halafu mkifeli interviews mnasema wakenya wanapendelewa kwa vile wanaongea kiingereza vizuri..wakati hii mada ni ya kiswahili lakini tayari watu weshanoa duuh kazi kweli kweli.
well.., i guess its a honest misunderstanding.