Hukumuzuku
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,676
- 5,026
Hadhi ya Mbowe mbele ya umma ya Watanzania siyo sawa na ya hao washitakiwa wengine. Mbowe ni important political public figure. Dunuia nzima wanafuatilia hii kesi, kwa hiyo usishangae hawajamfunga pingu kama Washitakiwa wenzake...Na Mbowe anatuhumiwa kutoroka nchini kabla hajakamatwa.
..Je, huyo sio mshtakiwa anayetakiwa kufungwa pingu wakati wote?
Hata huko USA unapoishi kila siku watu kama wewe hamchoki kupinga kwanini Watuhumiwa Wazungu wanapewa masharti nafuu ya bail bond hata kama wamefanya mauaji na baadaye wanaishia kuachiwa huru na mahakama.