mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,081
Naomba niulize Serikali nzima na mheshimiwa Rais Samia Suluhu, hivi hawa FCC wako juu yenu au wao hawafuati maelekezo ya Serikali na mheshimiwa Rais?
Inakueje Rais anahangaikia kurudisha wawekezaji huku wao wanakazana kukimbiza wawekezaji.?
Hapa naongelea michakato ya Simba Sport Club, mbona kama vile FCC ni kikwazo kikubwa hivo?
Wao ni nani na kwanini wamejaa jeuri hivi? Je, wametumwa au ni matakwa yao tu?
Mheshimiwa Kassim Majaliwa hebu wamulike hawa jamaa, na mbona wao hawatumbuliwi? Au wana kinga gani?
Sio kawaida inapofikia sehemu mpaka muwekezaji analalamika hadharani.
Tunaomba Serikali huu mchakato nao uishe tuendelee na mingine. Sio kila siku Simba mara hili mara hili!
Na mbona inachukua muda mrefu hivo? Au wanataka rushwa? Ndugu zetu wa PCCB tunaomba muwatembelee hawa FCC maana ni kama wako kwenye Jamhuri yao tu.
Inakueje Rais anahangaikia kurudisha wawekezaji huku wao wanakazana kukimbiza wawekezaji.?
Hapa naongelea michakato ya Simba Sport Club, mbona kama vile FCC ni kikwazo kikubwa hivo?
Wao ni nani na kwanini wamejaa jeuri hivi? Je, wametumwa au ni matakwa yao tu?
Mheshimiwa Kassim Majaliwa hebu wamulike hawa jamaa, na mbona wao hawatumbuliwi? Au wana kinga gani?
Sio kawaida inapofikia sehemu mpaka muwekezaji analalamika hadharani.
Tunaomba Serikali huu mchakato nao uishe tuendelee na mingine. Sio kila siku Simba mara hili mara hili!
Na mbona inachukua muda mrefu hivo? Au wanataka rushwa? Ndugu zetu wa PCCB tunaomba muwatembelee hawa FCC maana ni kama wako kwenye Jamhuri yao tu.