Kwanini Fatma Karume siku hizi "kajitenga" na CHADEMA

Jikite kwenye hoja acha ushamba
Kwa hoja ipi uliyoitoa hapo???
Nimesema chama siyo mtu au majengo! Ni itikadi waliopo chadema hawajamfuata mbowe wala mnyika. Kama mlivyodanganyana kwamba ukiwanunua wabunge na kuwapa uwazir umeua chadema. Waliopo pale wamefuata itikadi na mawazo mbadala dhidi ya ccm iliyoshindwa kuwapa wananchi umeme wala maji miaka 60 baada ya uhuru.
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Sababu kubwa ya kujitenga na chadema ni kuwa sasa hivi anatetea mashoga ambao wengi ni kijani
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Kamuulize babako
 
shangazi wa kupenda mashoga !
asili alipotoka ndio mashoga wengi huko.mkianza kulipinga analeta sheria kibao
Nahisi Chadema wanajitenga na Shangazi yao ili wasihusishwe na "Utetezi wa Ushoga" anaoufanya Shangazi. Na Shangazi anajitenga na Chadema ili awe huru kuutetea Ushoga akijua Chadema hawatamuunga mkono.
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Yule ni mkosa adabu tu na ni mbaguzi, ni kipi alicholidhika nacho mpaka akae kimya?
Ni vile aliyepo madarakani ni mzenji ndo maana amekaa kimya.
 
alipata cheo kwa kuwatukana hasa chadema na viongozi wake, sasa nadhani anadhani hiyo mbinu bado inafaaa ili arudi juu.

kwahiyo hajiongezi, kila akiamka na akilala yy anatafuta swaga la kumchokonoa mtu..

hivi yule mdogo wake wakiu-ke/me anaeddeleaje?
Wakudadavuwa soma hiyoo! Unaulizwa Yule ndogo wako aliyechezaga sinema ya usagaji anaendeleaje?
 
ulikua unamuaona wapi fatma na chadema na sasa uwaoni wapi??

By the way uwe unaingia kwenye mijadala kwenye Spaces utamkuta anamvuruga bi.mkora, na wewe uchangie mada na umuulize maswali yako.
 
Ukitumbia kwanini akina mjomba slow &co naokwanini wamejitenga na kijani, utapata hata jibu la shamgazi .
Wengi wao wapo kwa ajili ya maslahi yao sio kwa maslahi ya wananchi au ya nchi yao, hili ndio tatizo la wanasiasa wengi japo sio wote !!
 
Chadema mlijisahau sana. Bollen Ngetti amewaumiza sana. Waliotekwa wote Chadema alikuwa nao ndiye alitengeneza michongo. Ni Cobra hatari.
 
Fatma hajawahi kuwa Chadema,ila sisi Chadema tulikuwa tunamfollow kwa sababu ya utetezi wake wa HAKI za Binadamu.

Fatma ni mtoto wa Kigogo na ni cream hawezi kuwa Chadema anajua sisi tunataka muungano eidha uboreshwe au uvunjwe.

Na muungano ukivunjika Fatma anajua kuwa Majambia yatakula kichwa chake.
 
2477431_1596646679096.png
 
Fatuma Karume ambaye enzi za serikali ya awamu ya tano (5) alitambulika kama "shangazi" miongoni mwa wafuasi wa Chadema sasa hivi ni dhahiri kajitenga na Chadema.

Siku hizi huwezi kukuta wafuasi wa Chadema wakisambaza "tweets" zake au yeye "shangazi akiungana na wafuasi wa Chadema kutetea "hoja fulani" dhidi ya serikali.

Je "ushangazi" umeisha?
Fickle
 
Back
Top Bottom