Kwanini Dunia inamchukulia Einstein kama mtu mwenye akili zaidi kuwahi kuishi duniani

Hiki kipimo huwa kina pima nini hasa ? Yaani vigezo vyake ni vipi ?

Kipimo sahihi kipo mzee,usiseme juu ya mambo usiyo yajua. Laiti ungejua maana ya akili basi katika wau wajinga walio wapata kuishi duniani Einstein ni mmoja wapo. Tukiamua kulijadili hili hakuna atakaye weza kunipinga au kunikosoa kwa hoja,kwamba Einstein si katika watu wenye akili.

Mimi binafsi kwa akili Einstein hanifikii,nasema tena hanifikii.
Mkuu tuambie gunduzi zako basi.
 
Mambo manne ambayo Einstein ameyafanya au ameyasema na ni kweli.
Si nimekujibu kwamba mimi sijaingia katika huu mjadala nikiwa kama mtetezi wa eistein.

Nimeingia katika huu mjadala kwa kitaka kujifunza.

Nikakuambia kuwa katika kujifunza kwangu niko huru kumuuliza mtu yeyote awe ana mkubali eistein au anamkataa.

Ndio maana kuna swali nikakuliza moja kwa moja ukahisi ati nimeonesha nakubali juu ya eistein nikakuambia ni wewe unavyoona.

Nipo hapa nikiwa mtu huru najifunza,tafadhali usinitie katika kundi unalolitaka wewe wakati nimeshasema mwenyewe najifunza hivyo nipo huru..

Nilishakujibu hili swali labda useme hukuridhika na jibu langu.

Sasa naomba nikuulize ili nijifunze kwamba wewe ili ujue huu ukweli na huu sio unaupima wapi ?
 
Sasa naomba nikuulize ili nijifunze kwamba wewe ili ujue huu ukweli na huu sio unaupima wapi ?
Ndiyo maana nakwambia unakirupuka na kurudia maswali,hili nilikujibu,nilikwambia natumia uhalisia na uhalisia upo.

Sababu hujui unachokijadilia,sasa subiri waje wanao dai ya kuwa Einstein ana akili,wajibu swali langu kisha utazame kinacho jiri.

Sitatajii kama utauliza tena swali ambalo hapa nakujibu mara ya tatu.
 
Ndiyo maana nakwambia unakirupuka na kurudia maswali,hili nilikujibu,nilikwambia natumia uhalisia na uhalisia upo.

Sababu hujui unachokijadilia,sasa subiri waje wanao dai ya kuwa Einstein ana akili,wajibu swali langu kisha utazame kinacho jiri.

Sitatajii kama utauliza tena swali ambalo hapa nakujibu mara ya tatu.
Sawa bwana mkubwa.

Wewe zurri ni mtu upo kisharishari.

Mimi nakuwacha mzee
 
Quantum physics ndio imeleta Mapinduzi makubwa ya kiuchumi duniani kupitia nishati, viwanda, silaha n.k n.k

Kama umesoma sayansi advance, PCM, PCB, PGM. Kuna topic inaitwa modern physics ndio utajua shughuli ya huyo legendary Einstein. He had a beautiful mind.

Hao wengine utawakuta kwenye classical physics hasa kwenye mechanics ambayo ilileta Mapinduzi ya viwanda miaka ya 1800s.

Modern physics ni kila kitu kwenye ulimwengu wa sasa. Energy = Mass × (speed of light)squared. That is a future my friend.

Albert Einstein is a father of modern physics. So, he is a one and only outstanding genius of all time.
Hii formula yake haikuwa na derivation...huyu mwamba alikuwa balaa..Kuna sehemu nilisoma wanasema kabla ya kifo chake alipokuwa akiumwa alitakiwa kufanyiwa upasuaji Ila akagoma akasema..." It's tasteless to prolong life artificially"
 
JF bhana..

Kuna jamaa apa anasema ana akili kumzidi Einstein...

Bila shaka kabisa,ni mimi nasema hivyo. Na hakuna anae weza kupinga hili kielimu.

Ukiijua akili ni nini,utaelewa nini nakizungumzia.

Nimetoa kazi wa wadau wote wanao sema ya Einstein ana akili sana,kwamba watuwekee walau mambo manne aliyo yasema au kuyavumbua halafu mambo hayo yakawa ni kweli kabisa.

Kuna tofauti kati ya akili na kipawa. Mtu mwenye akili hapimwi kupitia vumbuzi,au kukariri vitu viiingiii au kujibu maswali ya hesabu kwa kichwa. Huku ni kujidanganya.
 
Mwenye akili
ni mtu mwenye suluhisho la tokeo hitajiwa kwa wakati wote wa swali kwenye eneo kazi(field) lisilo na known information for a solution to the problem.
(neno swali hapa ni "Tatizo au hitaji").

Kwa darasani;
Kwa mantiki hiyo ukipewa maswali ya kukutest (ambayo majibu yake tayari yapo) hapo unajaribiwa uwezo wa kutatua kwa kutumia available information).

Kwenye field;
Na ukiwasilisha pendekezo la kuadvance to a better higher desired result. Muwasilishaji ana akili.
Tena team ikapatia ikamwelewa huwa mtu anaweza tokea akamslap kakibao
simple popote kwenye mwili wa huyo mtatuzi, commonly huwa kichwani akiambatanisha kaneno ka pongezi.
Hongereni kwa mliowahi pongezwa
* including na anayecoment akijipiga kakofi.
 
Mara nyingi mtu akishapewa sifa kama hizo na akawa wa kwanza ni vigumu sana kumtoa hapo. Hasa kwenye sifa ambazo hazina vipimo rasmi.
Ni kama unavyosikia Pele anavyosifiwa, au Bob Marley. Sio kwamba hakuna wengine waliofanya au wanaofanya vizuri kuliko hao ila ndio sifa au ufalme umeshawaangukia basi tena. Nafikiri kwa Einstein ni hivyo hivyo
 
Duniani hakuna Mtu mwenye akili zaidi kuliko wengine kwa sababu kila Mtu anaweza kuwa Genius kwenye eneo lake.

- Kuna Magenius kwa upande wa Shule ambao wengi ndiyo wanaojulikana ingawa ujinias wao ni kwa eneo hilo tu. Hapa ndiyo utawapata kina Einstein na wengineo. Hivyo ukiwapima uwezo wao wa akili itabidi uwapime kwa eneo hilo tu huwezi kuwapima eneo jingine kwani ukiwatoa hapo kwenye Shule sehemu nyengine wataonekana mbulula tu.

- Kuna Magenius wa kutengeneza maisha, hapa utawapata kina Bozes, Bill Gates, Dangotte, Zuckerberg, Jac Ma, na hata hawa kina Dewj na Bakhressa. Hawa ni Watu wenye akili zaidi (Geniuses) katika eneo hili kwani ukiwatoa hapo basi kweningine ni mbulula tu.

- Kuna Mtu kama Lionel Messi ni Genius na mwenye akili nyingi zaidi kwa eneo la Mpira lakini nje ya Mpira ni Bashite tu.

- Hata mimi ukija kwenye eneo la kukung'uta Mademu wenye Mitako Mikubwa aka Tako Kifaru basi ni Genius mkubwa na nawagaragaza hao wote kina Einstein, Bozes, Dangotte na Messi kwa kuwa nina akili nyingi kuliko hao kwenye eneo hilo.

- Mifano ya kuhusu kuwa na akili ipo mengi tu na yote inatofautisha Mtu kuwa ana akili katika eneo lake.

Hivyo kipimo cha kusema Mtu fulani ana akili zaidi kuliko mwengine hakipo na wala hakiwezi kuwepo na ndiyomana Diamond Platnumz ni darasa la 4 lakini kwenye eneo la kutafuta hela kawazidi akili Maprofesa kama kina Kabudi, Lipumba, Mpango na wengine wanaorogana kupata Ubunge.

Hivyo hata huyo Einstein alikuwa na akili kwenye eneo lake tu la Shule lakini sio kwa Watu wengine kwani hata mimi kwenye eneo langu hanizidi, hamzidi Messi kwenye eneo lake, Hamzidi Dangotte kwenye eneo lake na.k.
Unazungumziaje wale multiple talented?
Da Vinc.
 
Kipindi kina Albert Einstein, Charles Darwin, Pythagoras, Galileo Galilei, Al Jabeer (Algebra), Vasco Da Gama, Dr Livingstone, Isaac Newton wapo bussy na kujitoa maisha yao kwa "KUFANYA UCHUNGUZI WA KISAYANSI/KIMAHESABU, KUICHUNGUZA NA KUIVUMBUA DUNIA/WANAADAMU/WANYAMA, sambamba na KUFANYA MAENDELEO YA KISAYANSI/TEKNOLOJIA (Evolution Of Man, Invention Of Science, Exploration Of The Earth)" kwa ujumla.

Ma babu zetu huku Africa walikua bussy "KUABUDU MIZIMU/MAPANGO/MISITU, KUOA WANAWAKE 3000 na KUTOA KAFARA WASICHANA MABIKIRA".

Halafu leo sisi kizazi hichi tuko bussy;

1) Kukesha Instagram na Face Book.

2) Kuwaita wenzetu mabeberu.

3) Na tunataka kushindana nao, silaha yetu kubwa ya mashindano ni kupiga domo na kulalamika tunaonewa.

#Dunia Simama Nishuke.

Sincerely hebu njoo huku uchangie mada.
Usitukane Ancestors kijana😀😀😀😀😀ndio wamekuleta hapa una type sasa hivi.
Ni sawa kabisa ugunduzi wa Magenius weupe.
Tusikilize kwanza Bajeti
 
Duniani hakuna Mtu mwenye akili zaidi kuliko wengine kwa sababu kila Mtu anaweza kuwa Genius kwenye eneo lake.

- Kuna Magenius kwa upande wa Shule ambao wengi ndiyo wanaojulikana ingawa ujinias wao ni kwa eneo hilo tu. Hapa ndiyo utawapata kina Einstein na wengineo. Hivyo ukiwapima uwezo wao wa akili itabidi uwapime kwa eneo hilo tu huwezi kuwapima eneo jingine kwani ukiwatoa hapo kwenye Shule sehemu nyengine wataonekana mbulula tu.

- Kuna Magenius wa kutengeneza maisha, hapa utawapata kina Bozes, Bill Gates, Dangotte, Zuckerberg, Jac Ma, na hata hawa kina Dewj na Bakhressa. Hawa ni Watu wenye akili zaidi (Geniuses) katika eneo hili kwani ukiwatoa hapo basi kweningine ni mbulula tu.

- Kuna Mtu kama Lionel Messi ni Genius na mwenye akili nyingi zaidi kwa eneo la Mpira lakini nje ya Mpira ni Bashite tu.

- Hata mimi ukija kwenye eneo la kukung'uta Mademu wenye Mitako Mikubwa aka Tako Kifaru basi ni Genius mkubwa na nawagaragaza hao wote kina Einstein, Bozes, Dangotte na Messi kwa kuwa nina akili nyingi kuliko hao kwenye eneo hilo.

- Mifano ya kuhusu kuwa na akili ipo mengi tu na yote inatofautisha Mtu kuwa ana akili katika eneo lake.

Hivyo kipimo cha kusema Mtu fulani ana akili zaidi kuliko mwengine hakipo na wala hakiwezi kuwepo na ndiyomana Diamond Platnumz ni darasa la 4 lakini kwenye eneo la kutafuta hela kawazidi akili Maprofesa kama kina Kabudi, Lipumba, Mpango na wengine wanaorogana kupata Ubunge.

Hivyo hata huyo Einstein alikuwa na akili kwenye eneo lake tu la Shule lakini sio kwa Watu wengine kwani hata mimi kwenye eneo langu hanizidi, hamzidi Messi kwenye eneo lake, Hamzidi Dangotte kwenye eneo lake na.k.
Napata wasiwasi kuwa hata maana ya neno "genius" hufahamu, na kama utakuwa unafahamu basi hutakuwa na uwezo wa kutofautisha Genius, smart person, & Intelligent person. think more.
 
Back
Top Bottom