Kwanini DSTV hawaoneshi channels za ndani?

Kurutu wa Mungu

JF-Expert Member
Oct 23, 2017
366
571
Sasa unaenda mwaka wa tatu kisimbuzi cha DSTV kimekua hakionyeshi channels za ndani zaidi ya TBC1, SAFARI channel na ZBC nimekua nikiwauliza mara kwa mara lakini majibu yao ni mafupi sana, wanadai hawana idhini.

Je, kwanini visimbuzi vingine viruhusiwe halafu wao wazuiliwe? Kwa anaye jua sababu iliyopo nyuma ya pazia aniambie, maana sasa king'amuzi chao kimekua kero pale unapokuwa haujalipia.
 
Kwa mjibu wa afisa masoko wao mtu anayependa mpira haihitaji kuangalia taarifa za habari, kwao ni burudani tu!

Huu ujinga ndio ulinifanya ndoa yangu na DSTV ikavunjika burudani bila habari mimi hapana.

Ukiuliza hili swali kuna watu wao humu watakwambia taarifa angalia BBC, Al-Jazeera, sijui CNN dah!

Achilia mbali TV channels za ndani hata radio za ndani hakuna.
 
Nadhani kuonyesha chaneli za ndani kunahitaji kibali/leseni ya peke yake. Nakumbuka kipindi cha mgogoro tcra walitoa muongozo wa nani anaweza kuonyesha nini na ukitaka chaneli za ndani ulipie dolari za kutosha ili upate leseni yake. DStv nao wameona isiwe tabu, tunaumia sisi coz kama hujalipia utaambulia TBC tu.
 
Sasa unaenda mwaka wa tatu kisimbuzi cha DSTV kimekua hakionyeshi channels za ndani zaidi ya TBC1, SAFARI channel na ZBC nimekua nikiwauliza mara kwa mara lakini majibu yao ni mafupi sana, wanadai hawana idhini.

Je, kwanini visimbuzi vingine viruhusiwe halafu wao wazuiliwe? Kwa anaye jua sababu iliyopo nyuma ya pazia aniambie, maana sasa king'amuzi chao kimekua kero pale unapokuwa haujalipia.
Hiyo safari chanel unipata ktk namba ipi?
 
King'amuzi Cha dstv n kwa ajili ya wanaojiweza tuu , km unataka local channels ...chukua startime au Azam n vile vingine sijui zuku continental n.k
.
Kulalamikia kutokuepo kwa local channels dstv ni ishara ya kuwa huna uwezo wa kuwa na dstv ....me nashauri wanaoshindwa wahamie ving'amuzi vingine
 
Ukinunua DSTV naamini kipaumbele chako sio local channels

kama wewe kipaumbele chako ni local channel tulia startimes au azam huko.
 
Channel za ndani pasipo TBC usipolipia zina katwa kwahiyo wale wengine wakalalamikia kitu hicho, ila mie naona kama watumiaji wa DSTV hawakulalamika kwanini hao wengine walilalamika? Wangeucha maana DSTV bila kulipia hujatizama kitu
 
Si serikali yenu ya ccm na mambo ya ajabu wanaturusha enzi za ujima, wana maamuzi ya kijinga zana
 
Naona mnajizungusha. Ukweli ni kwamba dstv wapo vizuri sana kuanzia dekoda, customer service, na packages zao.

Dstv wakisema waweke local channel zote ziwe free kama kwenye startimes, it means startimes ndio kushiney kibiashara. Na ipo wazi tu kuwa hii Startimes ilikuja na kuingizwa kwa mkono wa serikali na kupigiwa chapuo.

Tunajua hawa wachina wa Startimes kuna mpunga walitembeza huko kwa hawa majizi CCM na serikali yao, ili hawa TCRA waweze pata access ya kuingia katika soko na kudominate.

Hivi kwa mnaotazama Startimes, kuanzia vipindi quality ya king'amuzi hadi customer service, unaweza aanzaje kuwacompare na Dstv ambao wapo vizuri kupita maelekezo.

Hivi mfano unajilipua unachukua kile king'amuzi cha Dstv Explora, ni kampuni gani ya king'amuzi watakupa aina ile ya ubora.....?!


So its simple kama hivyo, kuwa jamaa wamefanyiwa udwanzi ili wasidominate local market. Huu ndio usenge wa watendaji wachache wa serikalini ambao wanahisi wao wanasauti ya mwisho katika maisha ya watu wazima wenzao wenye maamuzi yao na kutumia pesa yao. Huu ufala unatakiwa uishe.....tunashindwa kuenjoy maisha sababu kuna washamba wachache wapo katika meza za maamuzi.
 
Naona mnajizungusha. Ukweli ni kwamba dstv wapo vizuri sana kuanzia dekoda, customer service, na packages zao.

Dstv wakisema waweke local channel zote ziwe free kama kwenye startimes, it means startimes ndio kushiney kibiashara. Na ipo wazi tu kuwa hii Startimes ilikuja na kuingizwa kwa mkono wa serikali na kupigiwa chapuo.

Tunajua hawa wachina wa Startimes kuna mpunga walitembeza huko kwa hawa majizi CCM na serikali yao, ili hawa TCRA waweze pata access ya kuingia katika soko na kudominate.

Hivi kwa mnaotazama Startimes, kuanzia vipindi quality ya king'amuzi hadi customer service, unaweza aanzaje kuwacompare na Dstv ambao wapo vizuri kupita maelekezo.

Hivi mfano unajilipua unachukua kile king'amuzi cha Dstv Explora, ni kampuni gani ya king'amuzi watakupa aina ile ya ubora.....?!


So its simple kama hivyo, kuwa jamaa wamefanyiwa udwanzi ili wasidominate local market. Huu ndio usenge wa watendaji wachache wa serikalini ambao wanahisi wao wanasauti ya mwisho katika maisha ya watu wazima wenzao wenye maamuzi yao na kutumia pesa yao. Huu ufala unatakiwa uishe.....tunashindwa kuenjoy maisha sababu kuna washamba wachache wapo katika meza za maamuzi.
.true..akili kubwa Sana
 
Naona mnajizungusha. Ukweli ni kwamba dstv wapo vizuri sana kuanzia dekoda, customer service, na packages zao.

Dstv wakisema waweke local channel zote ziwe free kama kwenye startimes, it means startimes ndio kushiney kibiashara. Na ipo wazi tu kuwa hii Startimes ilikuja na kuingizwa kwa mkono wa serikali na kupigiwa chapuo.

Tunajua hawa wachina wa Startimes kuna mpunga walitembeza huko kwa hawa majizi CCM na serikali yao, ili hawa TCRA waweze pata access ya kuingia katika soko na kudominate.

Hivi kwa mnaotazama Startimes, kuanzia vipindi quality ya king'amuzi hadi customer service, unaweza aanzaje kuwacompare na Dstv ambao wapo vizuri kupita maelekezo.

Hivi mfano unajilipua unachukua kile king'amuzi cha Dstv Explora, ni kampuni gani ya king'amuzi watakupa aina ile ya ubora.....?!


So its simple kama hivyo, kuwa jamaa wamefanyiwa udwanzi ili wasidominate local market. Huu ndio usenge wa watendaji wachache wa serikalini ambao wanahisi wao wanasauti ya mwisho katika maisha ya watu wazima wenzao wenye maamuzi yao na kutumia pesa yao. Huu ufala unatakiwa uishe.....tunashindwa kuenjoy maisha sababu kuna washamba wachache wapo katika meza za maamuzi.
Agiza pepsi mkuu kwa bill yangu.
 
Sasa unaenda mwaka wa tatu kisimbuzi cha DSTV kimekua hakionyeshi channels za ndani zaidi ya TBC1, SAFARI channel na ZBC nimekua nikiwauliza mara kwa mara lakini majibu yao ni mafupi sana, wanadai hawana idhini.

Je, kwanini visimbuzi vingine viruhusiwe halafu wao wazuiliwe? Kwa anaye jua sababu iliyopo nyuma ya pazia aniambie, maana sasa king'amuzi chao kimekua kero pale unapokuwa haujalipia.
Unaitwa mbinyo huru,umefanya kazi.
 
Back
Top Bottom