Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
katika kipindi cha EATV kwa mahojiano ya na Dr slaa
imeonekana kuwa Dr slaa anavutia vijana kisiasa
JE kuna mpango wowote nyuma ya hili?
Je kwanini Dr slaa anavuta vijana na kuwaandaa namna hii??
Je tamko lake linalokuja litaamasisha vijana?
Nawakilisha
imeonekana kuwa Dr slaa anavutia vijana kisiasa
JE kuna mpango wowote nyuma ya hili?
Je kwanini Dr slaa anavuta vijana na kuwaandaa namna hii??
Je tamko lake linalokuja litaamasisha vijana?
Nawakilisha