kwanini dr. Slaa hatashinda

Shaycas

JF-Expert Member
Feb 13, 2009
906
110
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo..
Hofu ya kuibiwa kura.
Kuchelewa kutangaza nia.
Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. Nk.
 
Hoja ulizotoa Shaycas hazina mantiki.
1." Hofu ya kuibiwa kura."
Hofu haina uhusiano na mtu kutoshinda. Kama ungesema wizi wa kura kuwa ndiyo sababu ya kutoshinda hilo lingekubalika kimantiki.
2."Kuchelewa kutangaza nia." Kuchelewa kutangaza nia haina uhusiano na mtu kushinda au kutoshinda bali mwelekeo wa kampeni na uungwaji mkono ndo kungeweza kuonyesha mtu kushinda au la.
3. "Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo". Hili lina uhusiano gani na kushindwa au kushinda katika uchaguzi ambao umekwisha fanyika? Tunaweza kusema kuwa mwanzoni hapakuwa na hamasa lakini je baadaye kulikuwa na hamasa? na kama hamasa ilikuja baadaye na uchaguzi ulifanyika baadaye wakati ukosefu wa hamasa ulikuwa kabla, je maana yake siyo kwamba ndiyo angeshinda? kwani hamasa ya kabla ndiyo inayosababisha ushindi au hamasa ya baadaye? Mimi nadhani kama mwanzoni wangekuwa na hamasa lakini wakati wa upigaji kura wakakosa hamasa Dr. Slaa ndo angeshindwa.
 
Hoja ulizotoa Shaycas hazina mantiki.
1." Hofu ya kuibiwa kura."
Hofu haina uhusiano na mtu kutoshinda. Kama ungesema wizi wa kura kuwa ndiyo sababu ya kutoshinda hilo lingekubalika kimantiki.
2."Kuchelewa kutangaza nia." Kuchelewa kutangaza nia haina uhusiano na mtu kushinda au kutoshinda bali mwelekeo wa kampeni na uungwaji mkono ndo kungeweza kuonyesha mtu kushinda au la.
3. "Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo". Hili lina uhusiano gani na kushindwa au kushinda katika uchaguzi ambao umekwisha fanyika? Tunaweza kusema kuwa mwanzoni hapakuwa na hamasa lakini je baadaye kulikuwa na hamasa? na kama hamasa ilikuja baadaye na uchaguzi ulifanyika baadaye wakati ukosefu wa hamasa ulikuwa kabla, je maana yake siyo kwamba ndiyo angeshinda? kwani hamasa ya kabla ndiyo inayosababisha ushindi au hamasa ya baadaye? Mimi nadhani kama mwanzoni wangekuwa na hamasa lakini wakati wa upigaji kura wakakosa hamasa Dr. Slaa ndo angeshindwa.

naomba nifafanue kidogo..
Hofu ya kuibiwa ilifanya watu wengi wasipige kura kwa kuamini kuwa hata wapige kura haitasaidia,zingeibiwa.
Kuchelewa kutangaza nia kulifanya watu wasijiandikishe kwa kujua wagombea ni wale wale ambao hawana mchango wowote..hadi mwisho hawakupiga kura kwa kukosa sifa.
Vijana walihamasika kupiga kura wakati tayari hawakuwa na sifa kwani wengi ama hawakujiandikisha au hawakurekebisha taarifa zao za mahali pa kupigia kura. Dr anaungwa mkono na vijana zaidi*tathmini yangu*
nashukuru kwa kuchangia
 
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo..
Hofu ya kuibiwa kura.
Kuchelewa kutangaza nia.
Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. Nk.

Mtu hauwezi kushinda urais kwa sababu ya wahariri wa magazeti ya Mwananchi, Majira, Nipashe, na MwanaHalisi wanataka hivyo. Wanaopiga kura ni wananchi, siyo wahariri wa magazeti! Full stop!
 
Mtu hauwezi kushinda urais kwa sababu ya wahariri wa magazeti ya Mwananchi, Majira, Nipashe, na MwanaHalisi wanataka hivyo. Wanaopiga kura ni wananchi, siyo wahariri wa magazeti! Full stop!
Na nchi haiwezi kutawaliwa na wajnga wachache wnao weka ushabiki wakipumbavu kwenye masirahi ya nchi...
 
Hoja ulizotoa Shaycas hazina mantiki.
1." Hofu ya kuibiwa kura."
Hofu haina uhusiano na mtu kutoshinda. Kama ungesema wizi wa kura kuwa ndiyo sababu ya kutoshinda hilo lingekubalika kimantiki.
2."Kuchelewa kutangaza nia." Kuchelewa kutangaza nia haina uhusiano na mtu kushinda au kutoshinda bali mwelekeo wa kampeni na uungwaji mkono ndo kungeweza kuonyesha mtu kushinda au la.
3. "Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo". Hili lina uhusiano gani na kushindwa au kushinda katika uchaguzi ambao umekwisha fanyika? Tunaweza kusema kuwa mwanzoni hapakuwa na hamasa lakini je baadaye kulikuwa na hamasa? na kama hamasa ilikuja baadaye na uchaguzi ulifanyika baadaye wakati ukosefu wa hamasa ulikuwa kabla, je maana yake siyo kwamba ndiyo angeshinda? kwani hamasa ya kabla ndiyo inayosababisha ushindi au hamasa ya baadaye? Mimi nadhani kama mwanzoni wangekuwa na hamasa lakini wakati wa upigaji kura wakakosa hamasa Dr. Slaa ndo angeshindwa.

Huenda anamaanisha baadhi ya vijana walihamasika baada ya kuwa uandikishaji ulishakwisha, which is true! hizo nyingine waswahili husema hazina mashiko! Kazi tu 2015!
 
naomba nifafanue kidogo..
Hofu ya kuibiwa ilifanya watu wengi wasipige kura kwa kuamini kuwa hata wapige kura haitasaidia,zingeibiwa.
Kuchelewa kutangaza nia kulifanya watu wasijiandikishe kwa kujua wagombea ni wale wale ambao hawana mchango wowote..hadi mwisho hawakupiga kura kwa kukosa sifa.
Vijana walihamasika kupiga kura wakati tayari hawakuwa na sifa kwani wengi ama hawakujiandikisha au hawakurekebisha taarifa zao za mahali pa kupigia kura. Dr anaungwa mkono na vijana zaidi*tathmini yangu*
nashukuru kwa kuchangia

Thenks-I agree with u, ubaya wa baadhi ya WanaJF ni kama Makamba vile! hata statement ya ukweli wataipinga simply-inatofauitiana na wanachofikiri!
 
Dr. Slaa hatoshinda ktk uchaguzi huu kutokana na sababu zifuatazo..
Hofu ya kuibiwa kura. - Wanaendelea kuchakachua kura ambazo tumepiga hilo halina mjadala
Kuchelewa kutangaza nia. - :nono::nono::nono::nono::nono::nono:
Hamasa ya vijana kabla ya slaa kutangaza nia ili kuwa ndogo. - Can you prove this to me
Nk.

Bado hakuna hoja ya msingi
 
Thenks-I agree with u, ubaya wa baadhi ya WanaJF ni kama Makamba vile! hata statement ya ukweli wataipinga simply-inatofauitiana na wanachofikiri!

Wale wale

Like blind hens, we are ignorant of our own self and the depths within us.
 
Na nchi haiwezi kutawaliwa na wajnga wachache wnao weka ushabiki wakipumbavu kwenye masirahi ya nchi...

Kajifunze kuandika vizuri kabla ya kuanza kuwaita watu "wajnga". Ujinga ulikuwa wenu wa kudhania kwa kuhonga wahariri wa habari na kupachika picha za Slaa ukurasa wa mbele kila siku ndiyo huyo Slaa atakuwa rais. Fedha zimeliwa na JK anatunda kama kawa!
 
kuna njia nyingi za kufikia malengo wewe tulia hapo Barclays uchakachue na kutuma hate messages!

Na nyie mliokuwa mnarudnikana JF mlikuwa mnatuma "love messages" eh! Ama kweli nyani hupenda kucheka vikalio vya wengine! Teh teh teh!

Pipoz pawa my rear!
 
KAAZ KWEL KWEL.......YAAANI SLAA HAWEZI KUSHINDA KUONGOZA NCHI HII?........saa ya ukombozi kweli ina betri za kichina
 
Back
Top Bottom