johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,768
- 141,632
Nimemsikiliza Polepole akisema CCM ilipokuwa inakwama walimwendea Dr Mengi na aliwatatulia tatizo.
Kubenea naye akasema Dr Mengi alisaidia vyama vya siasa bila kuangalia itikadi.
Makonda akasisitiza alipoandaa tafrija ya viongozi wa dini ni Dr Mengi ndio aliyegharamia kalamu ile.
Ndiposa najiuliza kwanini Dr Mengi hakutamani vyeo vya kisiasa kama wale akina MO au Rostam Aziz?
Maendeleo hayana vyama!
Kubenea naye akasema Dr Mengi alisaidia vyama vya siasa bila kuangalia itikadi.
Makonda akasisitiza alipoandaa tafrija ya viongozi wa dini ni Dr Mengi ndio aliyegharamia kalamu ile.
Ndiposa najiuliza kwanini Dr Mengi hakutamani vyeo vya kisiasa kama wale akina MO au Rostam Aziz?
Maendeleo hayana vyama!