Kajijenga kiuchumi kivipi, acha upambe wa kishamba, sema keshaiba vya kutosha wakati wa utawala wa aliyekuwa akimlamba miguu.Makonda hata kuachia ofisi ya ukuu wa mkoa alijua perfectly what gona happen ...!! Anajua kila kitu na akaona the best option ni kukaa kimya mana ashajijenga kiuchumi Kwa kiwango cha kuridhisha