Kwanini Dini zote zimetokea au kuanzia Asia?

Yuyo Ahumile Shamalendi

JF-Expert Member
Mar 10, 2018
993
782
Wakuu salama? Nadhani muwazima, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimekua nikijiuliza maswali mengi kuhusu dini zetu hapa duniani na sijawahi pata majibu, sasa nimeamua kuleta suala hili hapa ili tuweze kupeana mawili matatu yatakayonifanya niweze kupata ufahamu zaidi.
Hua najiuliza mwenyewe na kujipa majibu mwenyewe ambayo sidhani kama yana usahihi, jibu mojawapo ni kwamba ama kule Asia ndio wanadamu tumeanzia huko halafu tukasambaa Africa, Ulaya, America, na kwingineko, lakini naomba tung'amuane zaidi kwamba ililkuaje?

Nawasilisha, karibuni.
 
Saa zingine hua nafikiri kua huenda Dini ilikua moja huko Asia, baada ya hapo zikaanza na zingine kuiga huko huko Asia ndio zikasambaa dunia nzima, Mfano Uyahudi, Uislamu, Uhindu, Ubudha na Ukristo, na dini zote hizo ukisoma kwenye vitabu mwanzo wake ni huko huko Asia.
 
Saa zingine hua nafikiri kua huenda Dini ilikua moja huko Asia, baada ya hapo zikaanza na zingine kuiga huko huko Asia ndio zikasambaa dunia nzima, Mfano Uyahudi, Uislamu, Uhindu, Ubudha na Ukristo, na dini zote hizo ukisoma kwenye vitabu mwanzo wake ni huko huko Asia.
Ukristo umeanzia wapiii?😨
 
Wakuu salama? Nadhani muwazima, naomba niende moja kwa moja kwenye mada.

Nimekua nikijiuliza maswali mengi kuhusu dini zetu hapa duniani na sijawahi pata majibu, sasa nimeamua kuleta suala hili hapa ili tuweze kupeana mawili matatu yatakayonifanya niweze kupata ufahamu zaidi.
Hua najiuliza mwenyewe na kujipa majibu mwenyewe ambayo sidhani kama yana usahihi, jibu mojawapo ni kwamba ama kule Asia ndio wanadamu tumeanzia huko halafu tukasambaa Africa, Ulaya, America, na kwingineko, lakini naomba tung'amuane zaidi kwamba ililkuaje?

Nawasilisha, karibuni.
Matapeli wa mwanzo kabisa walitokea huko,usishangae sana.
 
Hapo mashariki ya Kati ni Bara gani?
Ukristo haujaanzia mashariki ya kati mkuu acha kujifanya huelewi ukristo umeanzishwa na Roman empire italia! Na kwa kuweka rekodi sawa israel ipo mashariki ya kati ila haiko bara la Asia ipo Europe Syria ipo mashariki ya kati ila haipo Europe.
.
Nakushauri ukasome tena Ukristo ulianzia wapi na hii mada uifutilie mbali au ihariri
 
Mkuu Israel iko Bara gani eti?
Ukristo haujaanzia mashariki ya kati mkuu acha kujifanya huelewi ukristo umeanzishwa na Roman empire italia! Na kwa kuweka rekodi sawa israel ipo mashariki ya kati ila haiko bara la Asia ipo Europe Syria ipo mashariki ya kati ila haipo Europe.
.
Nakushauri ukasome tena Ukristo ulianzia wapi na hii mada uifutilie mbali au ihariri
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom