Kwanini Dini za asili hazipewi nafasi?

Acheni masuala ya kuturudisha kwenye matambiko usiku wa manane watu wakiwa uchi na sadaka za damu ifikie wakati waafrica tusiwe tena bara la giza
 
Acheni masuala ya kuturudisha kwenye matambiko usiku wa manane watu wakiwa uchi na sadaka za damu ifikie wakati waafrica tusiwe tena bara la giza
Lakini mkuu, kila mtu na imani yake, maadam hakudhuru basi sharti iheshimiwe, wahindu mpaka Leo wanaabudu nyoka, ng'ombe nk lakini bado imani yako inaheshimiwa mkuu,

Kuhusu kuturudisha kwenye matambiko usiku wa manane watu wakiwa uchi, hata Yesu alitolewa KAFARA YA DAMU (tambiko) pale msalabani kwa kumuua TENA AKIWA UCHI maana walipigia kura mavazi yake?! ilikuwa ni kafara ya damu akiwa uchi, na Giza kuu likafunika dunia kwa saa tatu, tena aliuawa kikatili sana lakini wakristo hawasemwi kama walifanya tambiko la kafara ya damu tena yesu akiwa uchi msalabani!


Waislamu pia, hutoa kafara ya kuchinja kila mwaka wakikumbuka nabii Ibrahim alipotaka kumtoa mwanae Ishmael kafara ya damu (tambiko)! Lakini dini hizi hazisemwi kwa kutoa makafara haya!

Pia kuhusu mabaya hata dini hizi tulizoletewa na wakoloni zina mabaya mengi kuanzia vita vya kishenzi vya kuuana wao kwao ulaya yaani crusade (vita vya msalaba) wazungu waliuana sana kishenzi kupitia dini ya kikristo!

Na waislam nao waliuana sana kupitia Jihad mpaka Leo kuna ishu ya ugaidi na makundi mengi yanayoua watu kutumia dini hii mfani alqaeda, ISS (daesh), book haramu, all shabab, izbollah, n.k. lakini hutosikia tukizitukana hizi dini tulizoletewa kwenye meli na majahazi kama vifurushi (bundle) kuwa ni dini za kishenzi kama tunavyo zitukana dini zetu za asili why?! (Kasumba).

Pia tusisahau mabaya mengine mengi waliyotufanyia wale waliotuletea dini hizi kubwa mbili unazodai ni za kistaarabu, walituvamia kimabavu na kutukamata kututeka na kutuuza kama watumwa! Wazungu na waarabu! Nenda pale bagamoyo au Zanzibar utakuta masoko ya watumwa babu zetu maskini,,,, waliuzwa na hao hao wakristo na waislam (sio wapagani) unaowaona kuwa ni wastaarabu na wameelimika kuliko dini zetu za asili, walituuza uchi kama hayawani , wakabaka mama zetu na kutupora Mali zetu na kupeleka kujenga kwao! Wakituacha sisi mafukara wakubwa! Kisha wakatutawala kimabavu, mpaka tulipojikomboa wenyewe!

Wakatubagua sana (na mpaka Leo bado wanatubagua huku wakijidai wanadini nzuri) hata kutuua, wakati wote huo tayari walikuwa na dini zao hizo unazoziona kuwa ni bora kuliko dini zetu za asili, walifanya maovu mengi mno kuliko hata maovu yaliyofanywa na wale wanao amini dini zetu za asili,
 
Acha uhuni mkuu, tunataka dini inayomwabudu Mungu aliyejuu aliyeviumba viumbe vyote vilivyomo na visivyo onekana. Mungu aliyeumba mito, jua, nyota, mbingu, dunia.
Hizo dini zingine zinawaabudu watu, zinawaabudu mizimu ya mababu ambao wote hao waliumbwa na Mungu aliyeziumba mbingu na nchi
Kama unaamini huyo ni bora kuliko miungu ya mababu zetu, unatudhibitishiaje?
Je kuna mtoto anaezaliwa anamjua kama anavyojua kunyonya? Au mpaka afundishwe?
Na je kama ni mpaka afundishwe huoni kama hapo kunaweza kuwa na maslahi binafsi kwa hao waliotuletea dini zao?
 
Kiongozi eti kuzidharau dini zetu za kiasili ni kasumba''HAPANA SIWEZI NARUDIA TENA HAPANA''sitaki uniaminishe katika miungu Hivi unajua hizi madhabahu za ukoo jinsi zinavetesa watu wewe watu wanawekewa vikwazo wanashindwa kuishi katika ndoto zao kwa ajili ya maagano ya giza walioingia mababu zao miaka na miaka roho za magonjwa,ufukara,utasa/ugumba kwanini tuishi nje ya misingi ya baraka MUNGU alizotuwekea...Kilichotokea pale msalabani ni pigo kubwa kwa shetani(NA YOTE IMEKWISHA)Yani tumekombolewa rejea "Eeeh BABA WASAMEHE KWAKUWA HAWAJUI WALITENDALO" lakini sio kwamba shetani kafungwa minyororo la hasha hapana ndio maana ana hasira zaidi so usishangae mabaya yanayotekea.Nimechoka kidogo tupo pamoja
 
Kiongozi eti kuzidharau dini zetu za kiasili ni kasumba''HAPANA SIWEZI NARUDIA TENA HAPANA''sitaki uniaminishe katika miungu Hivi unajua hizi madhabahu za ukoo jinsi zinavetesa watu wewe watu wanawekewa vikwazo wanashindwa kuishi katika ndoto zao kwa ajili ya maagano ya giza walioingia mababu zao miaka na miaka roho za magonjwa,ufukara,utasa/ugumba kwanini tuishi nje ya misingi ya baraka MUNGU alizotuwekea...Kilichotokea pale msalabani ni pigo kubwa kwa shetani(NA YOTE IMEKWISHA)Yani tumekombolewa rejea "Eeeh BABA WASAMEHE KWAKUWA HAWAJUI WALITENDALO" lakini sio kwamba shetani kafungwa minyororo la hasha hapana ndio maana ana hasira zaidi so usishangae mabaya yanayotekea.Nimechoka kidogo tupo pamoja
izo madhabau za wazee wetu zinatutesa sana
 
Kiongozi eti kuzidharau dini zetu za kiasili ni kasumba''HAPANA SIWEZI NARUDIA TENA HAPANA''sitaki uniaminishe katika miungu Hivi unajua hizi madhabahu za ukoo jinsi zinavetesa watu wewe watu wanawekewa vikwazo wanashindwa kuishi katika ndoto zao kwa ajili ya maagano ya giza walioingia mababu zao miaka na miaka roho za magonjwa,ufukara,utasa/ugumba kwanini tuishi nje ya misingi ya baraka MUNGU alizotuwekea...Kilichotokea pale msalabani ni pigo kubwa kwa shetani(NA YOTE IMEKWISHA)Yani tumekombolewa rejea "Eeeh BABA WASAMEHE KWAKUWA HAWAJUI WALITENDALO" lakini sio kwamba shetani kafungwa minyororo la hasha hapana ndio maana ana hasira zaidi so usishangae mabaya yanayotekea.Nimechoka kidogo tupo pamoja


Kwanza sidhani kama umeelewa hoja yangu mkuu,,

Hoja ni kwamba Tanzania haina dini rasmini ya taifa, tuko pamoja?! Kila dini ina haki sawa mbele ya katiba yetu, tuko pamoja mpaka hapo?! Kwahiyo kwa mujibu wa katiba yetu kila dini ina HAKI SAWA YA KUSHIRIKISHWA KWENYE MATUKIO MBALIMBALI YA KITAIFA hii ndio hoja ya msingi mkuu,

Tatizo linakuja pale unapojadili hoja kwa mlengo wa dini yako, kwamba dini hii ya asili si nzuri, ni ya kishetani, yakichawi au inatuletea laana, heeeee!! Hakuna aliyekuuliza kama dini ipi ni nzuri, wala sio hoja ya hapa kujadili dini gani ya kichawi, kishetani au nzuri, hoja ni usawa wa kushirikishwa kikatiba!

Kuhusu uhalali au uzuri wa dini basi kila mtu atapigia debe dini yake mkuu, hivi kama wewe ni mkristo unataka kuniambia uhindu wanaoabudu ng'ombe, nyoka na miungu mingine ni nzuri kwa imani yako mpaka ishirikishwe kwenye mikutano ya kitaifa?! Mbona sasa huipingi hii dini ?! Uislam je,?! Ubudha wanaoabudu masanamu?! Mbona hizo husemi umeng'ang'ania dini asili ni mbaya?! Hizo nyingine kwa dini yako ni sawa?!

Na kama wewe ni muislam je, unadhani kushirikishwa kwa uhindu kwenye ibada za kitaifa ni haki?! Ukristo je?! Ubudha ?! Uislam unazikubali dini hizi kuwa ni za haki?! Mbona sasa mnashupalia dini ya asili tu jamani?! Hizo nyingine vipi?! Ni za haki?! Ndio maana nasema mmepandikiziwa kasumba mbaya sana ya "kujidharau" na kudharau vya kwetu kwamba ni uchawi mtupu na ushetani lakini vya wengine ni vitakatifu na vya haki! Ujinga mtupu! Absolutely nonsense!

Kila dini /imani ina mapungufu yake hata huo ukristo wako una mapungufu yake kuanzia kwenye mauaji ya vita nyingi sana za crusades ambapo malaki ya watu waliuawa ulaya na middle east, mpaka kutumia dini hiyo kama fimbo ya kututawala (submission) na kutubagua (wakidai kuwa Mungu alimlaani mtoto wa Nuhu aitwae Ham, hivyo kizazi cha waafrika weusi kimelaaniwa na Mungu), Tena ukristo wa leo baadhi ya madhehebu umeanza kuunga mkono ushoga na usagaji.!! uongo?!

Uislam vilevile kama ukristo, uliletwa na waarabu, wakatumia dini hiyo, kututawala kuanzia Zanzibar mpaka ukanda wote wa mwambao wa bahari ya Hindi, kuanzia somalia mpaka msumbiji, wakatesa babu zetu na kuwakamata watumwa: kwauchache referred wakina seyyid said, tip tip, abushir, n.k. wakatuuza watumwa huko kwao na kwenye mashamba ya wazungu, wakajenga mpaka masoko ya watumwa referred bagamoyo na zanzibar bila aibu wala soni,

wakati wote huo walikuwa na dini yao tayari,,, tena wakijifanya ndio dini ya haki, haki gani ya kuuza watu watumwa, kuwatesa na kuwapora ardhi zao na mali zao ndio haki hiyo?! bado sijaeleza vita kubwa kubwa za jihad ambazo zimeua na kuangamiza malaki ya watu kwajina la dini, achilia mbali vikundi vya kidini kama Al shabab, Al Qaeda, Taleban, Isis (daesh), Izbollah, Boko haramu na huko msumbiji tunaona kinachoendelea achilia mbali kule mkuranga, kibiti na rufiji kilichotokea?!

Yote hayo ni matokeo ya hizo unazoziita kuwa ni dini/imani za haki??????!!!! Haki gani hapo?!

Kila imani au dini ina mapungufu yake au mabaya yake mkuu, so don't try to underestimate some beliefs into your perspective!

Tujadili hoja ya msingi, Tanzania ni secular country haina dini rasmini ya kitaifa, vipi dini/imani za asili zipuuzwe kwenye mikutano ya kitaifa badala yake dini tulizoletewa na wakoloni ndizo zipewe kipaumbele!
 
Utawala wowote ili ukue na uwe na nguvu unahitaji subjects.

Mechanism nzuri ya kuongeza subjects bila kutumia nguvu ya upanga au vita hence kupunguza gharama ni Dini.

Ukristo umejengwa kwenye utamaduni wa wakati huo kwa watu wa mashariki ya kati na baadae kuongezwa vionjo vya tamaduni za Kirumi.

Uislamu umebebwa na tamaduni za Arabia ya wakati huo. Mavazi, Chakula, Muziki vyoote vilikuweko na ulikuwa utamaduni wa watu wa Arabia.

Na vivyo hivyo kwa ubudha nk.

Leo dini inatugawa na kutumilikisha kwa taasisi mbalimbali.. RC wanajifungamanisha na Italia, German na Spain.. na hata mashirika yao ya kidini hayana uhusiano maana yako kufanya kazi kwa maslahi ya nchi mama.

KKKT- Uingereza, Anglican -Uingereza, Shia- Iran, Sunni -Arabia, Baptist-America, modern - protestantism (America), Orthodox -Greek and Russia woote wako na big followers in Afrika.. sending billions of dollars yearly kama sadaka to recipient countries... :)

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Utawala wowote ili ukue na uwe na nguvu unahitaji subjects.

Mechanism nzuri ya kuongeza subjects bila kutumia nguvu ya upanga au vita hence kupunguza gharama ni Dini.

Ukristo umejengwa kwenye utamaduni wa wakati huo kwa watu wa mashariki ya kati na baadae kuongezwa vionjo vya tamaduni za Kirumi.

Uislamu umebebwa na tamaduni za Arabia ya wakati huo. Mavazi, Chakula, Muziki vyoote vilikuweko na ulikuwa utamaduni wa watu wa Arabia.

Na vivyo hivyo kwa ubudha nk.

Leo dini inatugawa na kutumilikisha kwa taasisi mbalimbali.. RC wanajifungamanisha na Italia, German na Spain.. na hata mashirika yao ya kidini hayana uhusiano maana yako kufanya kazi kwa maslahi ya nchi mama.

KKKT- Uingereza, Anglican -Uingereza, Shia- Iran, Sunni -Arabia, Baptist-America, modern - protestantism (America), Orthodox -Greek and Russia woote wako na big followers in Afrika.. sending billions of dollars yearly kama sadaka to recipient countries... :)

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Well said, umeeleza vizuri sana mkuu, kongolee!

Nisahihishe kidogo tu Kkkt - German, maana muasisi wao Bishop Dr. Martin Luther alikuwa mjerumani, (sio uingereza).
 
Well said, umeeleza vizuri sana mkuu, kongolee!

Nisahihishe kidogo tu Kkkt - German, maana muasisi wao Bishop Dr. Martin Luther alikuwa mjerumani, (sio uingereza).
Ahsante kwa ufafanuzi mkuu!

Afrika inakuwa drained na dini na vyuo vikuu vinatumika kuwacondition influential people ambao ndio wanaokuja kuongoza na kutawala... Ni mtego unaohitaji nguvu kuuvua.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni dini gani hiyo?
Acha uhuni mkuu, tunataka dini inayomwabudu Mungu aliyejuu aliyeviumba viumbe vyote vilivyomo na visivyo onekana. Mungu aliyeumba mito, jua, nyota, mbingu, dunia.
Hizo dini zingine zinawaabudu watu, zinawaabudu mizimu ya mababu ambao wote hao waliumbwa na Mungu aliyeziumba mbingu na nchi
 
Achana na dini yako ukoo tu,kuna dini za wahindu,mabohora,budha n.k hizo ndizo mtoa mada anataka nazo zipiwe nafasi pia katika jukwaa la kitaifa.
Kiongozi eti kuzidharau dini zetu za kiasili ni kasumba''HAPANA SIWEZI NARUDIA TENA HAPANA''sitaki uniaminishe katika miungu Hivi unajua hizi madhabahu za ukoo jinsi zinavetesa watu wewe watu wanawekewa vikwazo wanashindwa kuishi katika ndoto zao kwa ajili ya maagano ya giza walioingia mababu zao miaka na miaka roho za magonjwa,ufukara,utasa/ugumba kwanini tuishi nje ya misingi ya baraka MUNGU alizotuwekea...Kilichotokea pale msalabani ni pigo kubwa kwa shetani(NA YOTE IMEKWISHA)Yani tumekombolewa rejea "Eeeh BABA WASAMEHE KWAKUWA HAWAJUI WALITENDALO" lakini sio kwamba shetani kafungwa minyororo la hasha hapana ndio maana ana hasira zaidi so usishangae mabaya yanayotekea.Nimechoka kidogo tupo pamoja
 
Back
Top Bottom