Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana miaka 55Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.
Kuna jamaa anaitwa Michael wa Nigeria Ana mwanamke anaitwa Angela it was pure madness.
I think Angela was 69 mpaka vows alikuwa hataki kufatisha kinachosemwa.
Kwa hiyo unataka diaspora wakupige mimba wewe?
Really? Nitarudia tena.Ana miaka 55
Gusa unase, katika kitu ni hatari kwa mzungu ni umzalishe raia wao....mwanamke akikufanyia visa akataka muachane jua ngoma ya child support utaicheza mpaka unaondoka duniani au unapakimbia kwa mzungu
Yup... 55yrs old!Really? Nitarudia tena.
Ilikuwa inanikera sana episode yao.
Hasa walipokuwa Nigeria.
Na wewe hujakatazwa kubagua kaka. Acha kulalamika!Ukiwa mtu mweusi na hauna pesa kupata demu mzungu au muarabu ni kazi sana,..
Huwa mademu wanakatazwa na familia zao kuwa na mahusiano na sisi wakiambia wasiiletee aibu familia
ila ubaguzi wa rangi unauma aisee usiombe ukutane na hiyo kisanga
Wewe ni walee waafrica wakifika kwa wazungu wanajipendekeza hadi keroo yaan..huwa mnanikera sana na wajinga wenzako miwapo abroad..Si kweli, ubaguzi wa rangi wategemea na mtu na mtu.
Wazungu wengi bado wanawapenda sana waafrika.
Kuna kale kamsemo kao "go black never go back".
Yo Kibs…mambo?Ana miaka 55
Si kweli, ubaguzi wa rangi wategemea na mtu na mtu.
Wazungu wengi bado wanawapenda sana waafrika.
Kuna kale kamsemo kao "go black never go back".
Dude you are so daft.
Brother, I'm not a daft as you said.
How does intelligence of one, relate to the poverty if another?
Intelligent women cannot create a bond with poor man. Hope you know that birds of feather flock together. In that regard, stupid vs.stupid, Intelligent vs. Intelligent, poor vs poor. No bond between poor vs. rich.
Secondly, Does Diaspora to you mean only US?
My case study is US, however, it doesn't matter whether you are in US or outside US. The aforementioned people have the same behaviours which are not acceptable in our community.
Thirdly, And are you trying to implicate our men of homosexuality?
Hapa umenilisha maneno brother. However, there is substance and sense in it.
Yaani wanatoka Bongo kwenda kutafuta mabasha?
Yes, why not?
Umetukosea sanaaa.
Nope. I'm right brother. If not, could you please disprove my allegations by giving incontrovertible evidences?
Don't be astounded brother. The said statement has substance in it.Hii ya same sex mimi ndio nimeishangaa
Unaposema wengi, ni wangapi unaowafahamu ambao wamekufanya u generalize ?Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
First of all, you have to understand that most Diaspora are very poor. So no woman can marry a poor.Wanasema alikimbia child support
Yo Kibs…mambo?
Hebu sema ‘ana miaka 55’ kwa Kiingereza 😁.
Wanawake wa kule wanajitambua sana brother.Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.
Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.
Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo
Your argument is so poor.Wanawake wa kule wanajitambua sana brother.
Tatizo ni ndugu zetu. Wanawake wa kule wanapenda mtu ambaye atawapa ulinzi financially.
It's your opnion brother, though, my arguments have got substance in it.Your argument is so poor.