Kwanini Diaspora wengi hawana watoto?

Kuna kipindi kimoja Cha couple hookups kipo DSTV kunaitwa 90 Days Fiance ndo utachoka.

Kuna jamaa anaitwa Michael wa Nigeria Ana mwanamke anaitwa Angela it was pure madness.

I think Angela was 69 mpaka vows alikuwa hataki kufatisha kinachosemwa.
Ana miaka 55
 
Child support ndo inakuaje mkuu...
Gusa unase, katika kitu ni hatari kwa mzungu ni umzalishe raia wao....mwanamke akikufanyia visa akataka muachane jua ngoma ya child support utaicheza mpaka unaondoka duniani au unapakimbia kwa mzungu
 
Si kweli, ubaguzi wa rangi wategemea na mtu na mtu.

Wazungu wengi bado wanawapenda sana waafrika.

Kuna kale kamsemo kao "go black never go back".
Wewe ni walee waafrica wakifika kwa wazungu wanajipendekeza hadi keroo yaan..huwa mnanikera sana na wajinga wenzako miwapo abroad..
Ukwel ni kwamba hakuna mzungu anapenda rangi nyeusi..ni wabaguzi kupindukia..na sio wazungu tu..wachina wahindi..pumbavuu kabisaa hawaaa..mtu mweusi yuko peke yake dunia nzimaa..lazima tujipende kwanza sisi..waafrica wakifika kule yaan wanaona kuwa karbu na wazungu ni bingo hata wa huku ni hvyo hvyoo..mzungu akiwa bongo mijitu mieusii inaona fahari kutembea nayo mitaani..shenzi kabisaa watu wa aina hiii..
 
Si kweli, ubaguzi wa rangi wategemea na mtu na mtu.

Wazungu wengi bado wanawapenda sana waafrika.

Kuna kale kamsemo kao "go black never go back".

Sio kweli, Mi naona waarabu ndio wana mapenzi na watu weusi kuliko wazungu, wahindi na wayahudi.
 
Dude you are so daft.

Brother, I'm not a daft as you said.

How does intelligence of one, relate to the poverty if another?

Intelligent women cannot create a bond with poor man. Hope you know that birds of feather flock together. In that regard, stupid vs.stupid, Intelligent vs. Intelligent, poor vs poor. No bond between poor vs. rich.

Secondly, Does Diaspora to you mean only US?

My case study is US, however, it doesn't matter whether you are in US or outside US. The aforementioned people have the same behaviours which are not acceptable in our community.

Thirdly, And are you trying to implicate our men of homosexuality?

Hapa umenilisha maneno brother. However, there is substance and sense in it.

Yaani wanatoka Bongo kwenda kutafuta mabasha?

Yes, why not?

Umetukosea sanaaa.

Nope. I'm right brother. If not, could you please disprove my allegations by giving incontrovertible evidences?
 
Nimelichunguza hili kwa baadhi ya marafiki, ndugu na baadhi ya watu. Wengi walioishi nje ya nchi miaka kadhaa wanarudi hawana hata copy ya nchi waliyotoka. Yuko jamaa anaishi Urusi aliondoka mimi nikiwa darasa la 6 mwaka 2001 hadi leo hii jamaa huko hana mtoto wala mke.
Mfano mwengine ni Lemutus mutu ya totos. Karudi akiwa na miaka zaidi ya 55 lakini nina uhakika nae atakuwa hajaacha copy huko USA.
Mifano iko mingi lakini swali ninalojiuliza nini kinasababisha hawa diaspora washindwe kuzaa huko nje na wanawake wa nchi hizo?
1. Ugumu wa maisha?
2. Wanawake wa kizungu hawapendi kuzaa na wageni?
Karibuni diaspora.
Unaposema wengi, ni wangapi unaowafahamu ambao wamekufanya u generalize ?
 
Ukute wanawake wa kule ni vimeo zaidi yetu sisi.

Sasa hawa kaka zetu wanaona hapana, vichwa vibovu hivi havifai.

Rudini nyumbani bana Bora sisi mizimwi muijuayo
Wanawake wa kule wanajitambua sana brother.

Tatizo ni ndugu zetu. Wanawake wa kule wanapenda mtu ambaye atawapa ulinzi financially.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom