Kwanini Diamond Platnumz hayumo top 20 ya wanamuziki matajiri Afrika?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,113
33,621
Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??

Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??

IMG_20210512_160418.jpg
 
Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.

Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .

Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Kwani Magufuli alipokuwa Rais Malori hayajawahi kukwama Bandarini!?
 
Labda utajiri wake wa kweli haujulikani au investments zake anazofanya ndani na nje ya nchi ni ndogo sana. Baadhi ya wanamuziki wa Afrika wanawekeza hadi USA kwa kuwa na majumba kule na biashara, sidhani kama DP kafanya hivyo.
Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??

Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??

View attachment 1782109
 
Imenishangaza Sana lakini ndiyo ukweli ulivyo. Yaani sijui wanatumia kigezo Gani kupanga hao wasanii matajiri!!??

Yaani Diamond hajafikia kuwa na ukwasi wa kutosha kuwa kwenye Orodha ya wanamuziki 20 matajiri Afrika!??

View attachment 1782109
Kwani uchumi wa Tanzania unafanana na hizo nchi? Samatta yupo top 20 ya wacheza soccer wanaolipwa zaidi Afrika?

Uchumi wa nchi kama South Afrika, Nigeria na Misri umetuzidi mbali sana mkuu hao wapo connected sana na wazungu kuliko sisi.
 
Kwa Africa ni ngumu sana mtu kuweka info zake za vyanzo vya mapato,kwahiyo kuwa na data halisi ni changamoto...
 
Back
Top Bottom