Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,443
- 6,986
Mda ulotumia kuja kuandika uzi huu hapa ungeutumia kutafakari tu kuwa kwanini haumiliki na pengine hautakaa umiliki hata moja tu ya magari alonayo Diamond ingekusaidia sana hata kufikia kumiliki boda boda yako.