Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,293
- 33,903
- Thread starter
- #21
Fake kivipi!!??Anasema list ni fake
Fake kivipi!!??Anasema list ni fake
Hahahah haha aise hadi mambo ya mondiMalori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Watoto wa mwendazake hao!!!Hahahah haha aise hadi mambo ya mondi
Umeleta ligi,yaani uko nje ya mada
Ova
Kigoma Independent anasema Diamond Platnumz ni msanii wa pili kwa UtajiriFake kivipi!!??
Niliona ana usd 5.1m wa 28diamond ana 4m usd hapo mwisho no.20 ni 7m usd
Oya mzeebaba vepe tena,tuliza basi mchecheto....relax man,relax.Malori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
Aongeze juhudiKweli eti eenh!!??
Hata mm nimefurahi kama umechukia kunya uleMalori kukwama bandarini ni furaha kubwa sana kwa Lema, Msigwa, Lisu na chadema kwa ujumla kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee ya kuuwa legacy ya Magufuli.
Huwezi kuchafua oil chafu itakuchafua, tayari chadema maji ya shingo .
Magufuli aliwagaragaza akiwa hai atawagaragaza akiwa mauti.
AnawashwaHahahah haha aise hadi mambo ya mondi
Umeleta ligi,yaani uko nje ya mada
Ova