Kwanini Diamond Platnumz anavaa msalaba?

Jibu swali, characters wa kwenye hivyo vitabu walikuwa Wagiriki au walikuwa wakitumia lugha ya Kigiriki?
What's so difficult about giving the straight answer?
Stop the blah blah and give the straight answer.
Hizo references zako si kila mtu anaziamini hivyo basi toa jibu la moja kwa moja kwa maswali hayo.
Jibu ni rahisi sana. Walioandika vitabu vya Agano Jipya walikuwa Wayahudi lakini waliandika kwa Kigiriki sababu ndiyo lugha kuu iliyokuwa inatumika kipindi hicho eneo lote la mashariki ya kati.

Mfano ni kama sisi Watanzania, tunaongea Kiswahili lakini sheria zetu zote zimeandikwa kwa Kiingereza.
 
Mind you, nina maana the whole Bible siyo uje na references za New Testament peke yake. Nijue kama hata the likes of Abraham au Solomon au David au Moses kwa nao walikuwa wakitumia Kigiriki au original records za hadithi zao wakati wa enzi zao zilikuwa zinaandikwa kwa Kigiriki na hata kama Jesus pia alikuwa anatumia(anazungumza/anahubiri) Kigiriki.
View attachment 1860286
Wewe bado una safari ndefu sana ya kujifunza.

Vitabu vya Agano la Kale viliandikwa kwa Kiebrania (Hebrew) na baadhi viliandikwa kwa Kiarameiki (Aramaic).

Vitabu vya Agano Jipya vyote viliandikwa kwa Kigiriki (Koine Greece).

Huo ndiyo UKWELI na hakuna ubishi katika hilo.
 
Unabishana na KJV haya..
Ninajua ninachokiongea na nina uhakika wa asilimia 100% wala sibahatishi.

KJV= King James Version hii ni Biblia iliyotafsiriwa mwaka 1611 huko Uingereza. Kabla ya hapo kulikuwa hakuna KJV bali ilikuwepo Biblia ya Kwanza ya Kiingereza iliyoitwa The Geneva Bible ambayo ilitafsiriwa mwaka 1557 na kuchapishwa mwaka 1560.

Kabla ya hapo maandiko yote matakatifu yalikuwa katika lugha ya Kiebrania na Kigiriki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom