Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,358
- 6,077
Jibu ni rahisi sana. Walioandika vitabu vya Agano Jipya walikuwa Wayahudi lakini waliandika kwa Kigiriki sababu ndiyo lugha kuu iliyokuwa inatumika kipindi hicho eneo lote la mashariki ya kati.Jibu swali, characters wa kwenye hivyo vitabu walikuwa Wagiriki au walikuwa wakitumia lugha ya Kigiriki?
What's so difficult about giving the straight answer?
Stop the blah blah and give the straight answer.
Hizo references zako si kila mtu anaziamini hivyo basi toa jibu la moja kwa moja kwa maswali hayo.
Mfano ni kama sisi Watanzania, tunaongea Kiswahili lakini sheria zetu zote zimeandikwa kwa Kiingereza.