Kwanini deni la Taifa linapaa kila kukicha huku tukikusanya mapato juu ya malengo?

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Jul 14, 2016
1,160
1,191
Swali.

Tangu serikali ya awamu ya 5 imeingia Madarakani imekuwa ikijinasibu kukusanya mapato juu ya malengo
Sasa budget deficity inatokeaje?
Kwanini tunakopa?

Kwa nini deni la taifa linapaa kila kukicha huku tukikusanya mapato juu ya malengo?
Je, uanzishwaji wa miradi hiyo mikubwa inakuwa ni sehemu ya bugdet ama ni utashi wa viongozi wetu?

Nakubali kurekebishwa!
 
Wasukuma wa Mwanza wanasemaje katika hilo?
Swali.

Tangu serikali ya awamu ya 5 imeingia Madarakani imekuwa ikijinasibu kukusanya mapato juu ya malengo

Sasa budget deficity inatokeaje?

Kwanini tunakopa?

Kwa nini deni la taifa linapaa kila kukicha huku tukikusanya mapato juu ya malengo?

Je, uanzishwaji wa miradi hiyo mikubwa inakuwa ni sehemu ya bugdet ama ni utashi wa viongozi wetu?

Nakubali kurekebishwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani tunakopa mikopo yenye riba kubwa kwa sababu wanaokopesha kwa riba ndogo ndio hao mabeberu ambao hatuendi tena kwao
 
Kukopa si tatizo je unakopa kwa maeidhiano gani,je umma ambao utalioa umeshirikishwa kwenye kukooa huko?na je mipango wa miradi hiyo ni sitahiki kukopa kwa wakati huo na je una positive impact gani kwa umma kwa wakati huo,na je uwajibikaji kuhusu uwazi wa mikopo hiyo ukoje?
Kila nchi duniani hukopa ,kukopa ni sehemu ya maendeleo


State agent

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mleta mada kauliza kwanini kipato chako ni kikubwa Ila una madeni makubwa anajibiwa kila mtu huwa anakopa.
 
Ina maana hayo 'makusanyo' labda yamekuwa overstated kukidhi maslahi fulani ya kisiasa.

Huwezi ukakusanya karibu 2 trillion in a month kisha eti wanafunzi wakose madarasa ya kusomea, sasa nini mantiki ya hayo 'makusanyo' kama kweli yapo.
 
Ina maana hayo 'makusanyo' labda yamekuwa overstated kukidhi maslahi fulani ya kisiasa.

Huwezi ukakusanya karibu 2 trillion in a month kisha eti wanafunzi wakose madarasa ya kusomea, sasa nini mantiki ya hayo 'makusanyo' kama kweli yapo.

So unadhani nchi Ni kama wewe mwenye chumba Kimoja. Ajabu sana watanzania.
 
Tunaelekea Zimbabwe....
Wenye akili nyingi kama ya mkuu sana Stste Agent wanajua kuwa uchumi wa nchi ni lazima udhibitiwe.
Mfano mzuri ni kipato cha mtu mmoja mmoja. Tajiri anafilisika vipi? Anapokuwa anashindwa kulipa madeni anayodaiwa. Kama amekopea mali anauza/zinanadiwa kwa hasara.
Nchi kama Kenya inaishia kuingia na nchi zingine kama China mikataba mibovu.
Kama vile mtu anavyohitaji pesa za matumizi ya kila siku, serikali kwa upande wake inalipa mishahara, mafuta ya magari, nk.
Zimbabwe ina hali ya uchumi mbaya sana.
 
Swali.

Tangu serikali ya awamu ya 5 imeingia Madarakani imekuwa ikijinasibu kukusanya mapato juu ya malengo
Sasa budget deficity inatokeaje?
Kwanini tunakopa?

Kwa nini deni la taifa linapaa kila kukicha huku tukikusanya mapato juu ya malengo?
Je, uanzishwaji wa miradi hiyo mikubwa inakuwa ni sehemu ya bugdet ama ni utashi wa viongozi wetu?

Nakubali kurekebishwa!
Tunaposema mirad yetu mikubwa tunajenga kwa pesa za ndani wewe unaelewaje ?
 
Back
Top Bottom